habari wakuu. Mdg wangu kapata miscarrage, na akasafishwa anaendelea vyema. Je ni muda gani anatakiwa upite ndipo anaweza kukutana na mumewe tena. Thanx indeed
wakuu heshima kwenu.
Naomba msaada kwa anaejua wapi ntapata shule kwa ajili ya mtoto wangu ana 5yrs. shule nzuri na nikijua ada kwa mwaka nitashukuru sana.
Asanteni kwa msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.