Historia ya Ligi ya Mabingwa ya CAF (CAFCL) ni kama ifuatavyo:
Kuanzishwa (1964): CAFCL ilianzishwa mwaka 1964 na kuitwa awali Kombe la Vilabu Bingwa Afrika. Lengo lilikuwa kuwakutanisha mabingwa wa ligi za kitaifa barani Afrika.
Muundo wa Awali: Katika awamu zake za mwanzo, mashindano...
Habari zenu wanajamvii,
Mimi ni blogger mchanga, namiliki blog yangu hii www.binruwehy.co.tz kwaajili ya habari za michezo lakini ninashangazwa na jambo hili kwenye upande wa views kuna wakati nilikuwa natumia template fulani inaitwa korve ka siku nimekuwa nikipata views elfu 20 mpaka 50...
Baada ya Simba kushindwa kufua dafu ugenini Al Ahly wapata nafasi ya goli la ugenini kanuni yaibeba Al Ahly mpaka nusu fainali ambapo anakutanishwa na wamba wa Afrika Kusini.
Mamelodi waibuka kidedea baada ya kumpiga mpinzani wao bao 2-0 katika mchezo uliopita, Jana Mamelodi walishindwa kuona...
Habari wakuu kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, nime publish app ya blog yangu katika soko la google play store tangu asubuhi lakini mpaka sasa jioni haijakuwa published ipo draft na status yake ni kuwa in review. Je inaweza kuchukua muda gani kuwa published msaada, maana kipindi cha mwaka 2017...
Habari waungwana nina blog yangu katika platform ya blogger inahusiana na michezo nahitaji app blog yenyewe hii hapa www.binruwehy.blogspot.com dm iko wazi pia mtengenezaji wangu namuomba awe na demo japo moja tu ili niweze kujiridhisha
katika pitapita na mahangaiko kutoka maeneo tofauti tofauti huko mitandandaoni nimepokea malalamiko kadhaa kutoka kw wasomaji wetu kuhusu seebait je ni matapeli au wamefilisika, naam ili inatubidi tuliangalie kwa undani kidogo kama tulivyoandika makala ya kuhusu kujiunga na kampuni ya matangazo...
katika pitapita na mahangaiko kutoka maeneo tofauti tofauti huko mitandandaoni nimepokea malalamiko kadhaa kutoka kw wasomaji wetu kuhusu seebait je ni matapeli au wamefilisika, naam ili inatubidi tuliangalie kwa undani kidogo kama tulivyoandika makala ya kuhusu kujiunga na kampuni ya matangazo...
Habari wanajukwaa kama kichwa cha habari kinavyojieleza nina samsung yangu galaxy A12 ime hard setiwa nahitaji msaada wa kutolewa pass nitalipia huduma
Habari za majukumu wandugu, naombeni msaada wa program itakayoweza kunisaidia kuondoa simlock katika simu aina ya amazon au kama kuna mtu anaweza kufanya kazi hii aje PM
Natanguliza shukrani.
asubuhi nimejipanga kwenda kununua simu aina ya tecno w3 naomba kujua bei yake wasije nipiga za mbavu pia naomba mnifahamishe vitu muhimu vya kuzingatia
Ni mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara (VPL) uliopigwa leo katika dimba la CCM Kirumba jijini Mwanza ambapo Mbao ndiyo walioanza kupata bao dakika ya 3, kisha Mbeya City wakakosa mkwaju wa penati dakika ya 5 kupitia kwa Mohamed Samatta.
habari za siku nyingi ndugu wa jf mimi ni blogger nipo na kablog kangu haka Zotekaliblog – The House of Entertainment News huwa napata mia ndogo ndogo namshukuru mungu miezi iliyopita nilipata U$D 100 na nikatumiwa fresh katika bank akaunti yangu lakini kipindi hiki nimepata u$d 122 na adsense...
Vipimo
Majimbi (Eddoes) kiasi 6 au 7
Nyama ng’ombe ½ kilos
Tangawizi ilosagwa 1 kijiko cha kulia
Haldi (bizari manjano/turmeric) ½ kijiko cha chai
Tui zito la nazi vikombe 2
Chumvi kiasi
Namna Ya Kutayarisha Na Kupika
Safisha nyama kisha weka chumvi, bizari ya manjano, tangawizi mbichi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.