Mbunge huyu huwa namkubali sana.ANAONGEA UKWELI MTUPU mara zote. Hospitali za binafsi zinachangia sana kuiua NHIF. Pia baadhi ya wafanyakazi wa NHIF hula NJAMA na hospitali za binafsi kuiibia NHIF.
NINI KIFANYIKE?
1.Serikali iimarishe hospitali za umma.
2. NHIF isitishe huduma kwa muda kwenye...
Ni lazima. Serikali ifanye amendment sheria ya TLS ili kujiunga iwe HIARI. Na mawakili wawe huru kuanzisha chama kingine kwa mujibu wa katiba ibara 20. Ulazima huo ndo chazo cha wizi.
Ukaguzi huo ufanywe na CAG tu. Hao wengine ni WONGO mtupu. Internal auditor alikuwa wapi mpaka wizi huo utokee? Leo huyohuyo anakuja kukagua. Je atakagua kitu gani? Mtuhumiwa anajikagua! Plz CAG come to clean up the gangs/thieves/thugs at TLS. CAG only can do something relevant!
Hiyo 400,000 ya LAAC kulipa kwa LAZIMA kila wakili ilisababisha mawakili wengi kuacha kupractice. Mchango huo ulijaa SURA YA WIZI mtupu. Kuna watu pale TLS ni wezi wakubwa na hawataki kutoka. Ni ving'ang'azi kama KUNGUNI. Why? Kwa sababu kuna ULAJI MKUBWA SANA WA MICHANGO YA WANACHAMA. Ni...
Wewe mleta mada ni MWONGO. Mimi ni mkristo lakini katika hili NAUNGANA na hao waislam. Tutapewaje chakula ambacho tunacho? Kule Mbeya kuna mcheke mwingi. Nyuma y msaada huu kuna AJENDA YA SIRI. Hizi NGO lazima ziwe controlled.
Apewe UBUNGE tafadhari [Kama nafasi za kuteuliwa bado zipo]. I hope that choice will make sense. It is humbly submitted. Stay tuned. By Tupa tupa Dodoma.
Mama yetu SAMIA safi sanaaa. Watu wanaenjoy life, wanafurahia maisha kwa mara ya KWANZA. WATU WANA AMANI SANAAA. Napendekeza IJENGWE SANAMU KUBWA SANA YA MAMA SAMIA DODOMA makao makuu ya nchi ili vizazi vijavyo vije vimuone. Raisi ajaye awe TENA mwanamke. Hawa wanaume inatosha.
Itakuwa bora zaidi kama vitengo vya customer care kwenye taasisi za umma vikashikwa na PRIVATE SECTOR. Mtumishi wa umma na customer care ni sawa na paka na panya.
Kuhusu namba za simu zilizonyingi ni FAKE. Ukipiga hakuna anayepokea au akipokea unapata majibu ya HOVYO. Wanaziweka kwaajili ya kuwafurahisha mabosi wao. KATIKA hili la namba za simu TUWAPONGEZE TANESCO. Ukiwapigia wanakuelekeza vizuri. Namba za simu za TANESCO tu ndo msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.