Habari zenu,
Katika pita pita zangu za magazetini huwa na soma habari za yalijiri kwenye mahakama zetu, mara nyingi nakutana na habari nyingi ambazo hukumu zake nahisi kama ni kukomoa na sio tena kurekebisha hawa wakosaji ili waweze kurudi tena kwenye jamii kama watu walioelimika na kuitumikia...
Habari zenu wana bodi.
Naomba kuuliza kuhusu msimamo wa serikali kuhusu "Ushoga" maana nimeangalia mitaani hali inazidi kuwa mbaya na tatizo jingine ni kwamba raia hawajui nini cha kufanya maana kuna sheria ya kukataza kwa kifungo kikubwa tu ila hakuna watu wa kusimamia hii sheria.
Mkuu wa...
Jamani wadau katika pita pita zangu nilijikuta katika mjadala mkali kuhusu kifo, Mjadala ulikua hivi:
1. Je watu wanahofia kufa kwa sababu ya uoga wa kutojua mbele kuna nini? (motoni na peponi) au
2. Watu wanaogopa kufa kutokana na maisha anayoacha ( familia,marafiki)
Sasa wadau naomba...
Msanii Langa ameelezea jinsialiyokuwa mteja kwa kipindi cha zaidi ya miaka 6 , ambapo uteja ulimradhimu kukimbia nyumbani,kuwa mwizi (kibaka) mtaani na pamoja na kuishi ghetto.
Langa aliongea hayo kupitia online show ya Cheusi Dawa TV inayoongozwa na Fid Q,ni wakati sasa jamii kujua kwamba...
Msanii anayefanya bongo hip hop r.o.m.a ametoa nyimbo mpya ambayo bado hajaipa jina,ila ni nyimbo nzuri sana yaani hajatafuna maneno.
Kawa diss masharobaro,CCM na huduma mbovu katika jamii.
NB: Unaweza sikiliza kupitia link zifuatazo
Roma - Mzalendo Halisi(BONGO HIP HOP) - BONGO STAR LINK
Heshima mbele !
Naomba kuchukua fursa hii kuomba kuungana nanyi wanajamii ili kuelemishana na kuchangia hoja mbalimbali zinazolenga jamii inayonizunguka na Tanzania kwa ujumla.
Natanguliza shukhurani zangu za dhati kwenu wote wenye nia thabiti na ushupavu wa ku 'dare to talk openly'.
Regards
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.