Kwa kweli miaka hamsini ya uhuru inatumia gharama kubwa sana. huwezi amini kila halmashauri wamedhimisha, kila mkoa wameadhimisha, kila wizara wameadhimisha na bado wiki ya kilele..... ni kwa nini kufanya mambo makubwa wakati hali zetu ni za kuchechemea
Lori lililokuwa likisafirisha mitihani ya kidato cha nne kutoka ruvuma kwenda NECTA limepata ajali baada ya kupasuka tairi muda huu hapo Bwawani. Dereva na askari wamefariki hapohapo. Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi
Kwa kweli tunakoelekea si kuzuri. Nina imani mwisho wa yote hayo ni mbaya kwani damu ya mtu haitapotea bure, sipati picha kwa uchaguzi ujao itakuwaje kama jimbo moja tu linasababisha wamwage damu!
Mungu azilaze pema roho za marehemu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.