Pamoja na yote "uliyotapika" sisi wenyeji na wakazi was Kusini tunajua ugomvi ulikuwa wapi...!!! Ngoja nikueleze unafahamu lile sakata la Korosho Bungeni mpaka wengine kutaka kupigiwa Shangazi zao....!!! Na hapo ndipo Korosho uzalishaji ulishuka na bei pia nani alisababisha? Kama siyo ugomvi ni...
Siyo kweli kwamba hawataki Vita..,.Lengo la NATO ni kupata wanachama ambao kwa mahitaji ya Kiulinzi/vita ikitokea kwa Maslahi ya Nchi kama Marekani au Uingereza basi huko nyuma Nchi mfano Ukraine utakuta wameweka Military Base ili iwe rahisi kwao kumuattack adui Yao...... Na hii ndicho Mrusi...
Nilichoona TRA hasa kitengo cha kubadilisha umiliki wa Gari, kuna mama pale hafanyi kazi kama hujamuwekea pesa kwenye document zako kupata Control namba ilinichukua massa 7 lakini kuna vishoka wanamuita mama nae anaitika na kuwapa control namba ilibidi niwe Mkali ndipo akanitolea kwa kweli...
Kwani ni Hospital.....!!! Siyo ile ya Migombani mkuu.....!!!??? Nadhani Bitrice anaumwa ugonjwa unaoitwa KATIBA....na usipouangalia unaweza kuuondoa maisha kwani wengi wameumwa ugonjwa bila Mafanikio
Kuna wengine ndiyo biashara yao kujenga na kuuza..... Bati chakavu wameziba matundu zinapigwa rangi, tofali Nchi 4, mbao za kenchi marijekti/ zilizotumika zikaungwa ungwa...lakini kwa ajili ya Marumaru na Cellingboard ya Jipusamu unaingia mkenge...... Angalia sana hivi vitu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.