Umebadilika saana Kaka..,.mwanzoni nilijua unafikisha ujumbe kwa kinyume na unachoandika Ila baada ya kukufuatilia kwa muda nikagundua kua una maanisha na kusimamia kauli zako za kuunga mkono...inawezekana ule wito wa dodoma pamoja na onyo ulopewa au umeingia katika pay roll ili utumie taaluma...
Naona unajizungusha zungusha tu hata hueleweki unachokiongea unaleta nadharia za darasani na sio uhalisia....lazima ujue kutofautisha kati ya maendeleo ya watu na maendeleo ya vitu...korosho huko tayari bei imeanguka....we unapima maendeleo kwa kua na mandege mengi au madaraja makubwa? Acheni...
Pascal, pascal unazeeka vibaya ndugu yangu...sijui nani anakushikia akili zako siku hizi...hivii hiyo miradi itakamilika lini? Hata tuseme kama unavyoomba kila siku na kitushawishi humu tuondoe ukomo wa madaraka fine....hiyo miradi probably itaanza lipa after 50 years plus ....if and only if...
Acha unafiki pasco....unajivua nguo siku hizi...wewe sio pasco mayala niliemjua na kumuheshim kwa zaidi ya miaka 15, bora ukae kimya Kaka, unaonyesha ubaguzi na ukabila wa wazi wazi unajifanya hujui katiba inatakaje... Acha unafiki na siku hizi chochote unachokiandika wala sikichukulii uzito au...
Sisi na wazungu tunautofauti mkubwa sana...kufanana nao kua na viungo vinavyolingana sio sababu ya kusema sisi na wao tuna undugu......kwahiyo tuseme wewe na sokwe mtu mna undugu?
Mkuu usitake kuudanganya umma tayari qur an imeeleza point blank kua dhurqarnain alifika mpaka sehem ambayo jua linazama katika tope jeusi na akawakuta watu wanaishi eneo Hilo...Sasa hapo unahitaji Nini imam shafii,hambal, malick au hannaf waje wakufafanulie? Kubali tu tushapigwa changa la macho...
kwani kuna MTU kakulazimisha uandamane? kaa na mkeo Fanya nae mapenzi Wakati wenye uchungu na nchi yao wakiandamana....wewe ni sehem ya tatizo kama huoni haya yote basi utakua una upofu wa akili....
ni kweli kuna video nimeipata hapa wanyarwanda wa naomba eneo la Tz wanamuomba kigangwala akamwambie rais na wameisha anza kupanda sijui mazao gani kigangwala ana waamuru askari wake wawatimue na ikibidi wawapoteze wachache
mkuu acha hizo story bana, atawekwa chini ya ulinzi na nani? hili hili jeshi la polisi au unaongelea scotland yard na mossad ya Israel? yaani mpaka leo hujui kua polisi, ccm na hao mawakili wa serikali wapo upande gani? pole sana mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.