Search results

  1. Nailyne

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Mkuu Kubota asante sana kwa huu uzi, nimenufaika sana, nilikuwa na vitetea vyangu 3 ile february ulipoanzisha hii thread, na tulikuwa tunafuga kwa kula tuu with no extra care kwa hao kuku lakini baada ya kusoma uzi huu nikajifunza kitu, nikasema hao watatu watakuwa ni mtaji kangu! kwa sasa nina...
  2. Nailyne

    Family Pressures.. Ushauri Pls!!

    r u from a broken family or raised by a single mother?? sorry if it is too much to ask.....
  3. Nailyne

    The Boss, Sorry for your loss...

    pole sana the Boss
  4. Nailyne

    Precision Air mmezidi

    nilikuwa natoka mwanza tarehe 25 Nov,2012 jumapili kwa ndege ya ya saa mbili na nusu usiku, nimefika airport saa moja kasoro nakutana na msururu wa abiria tukiuliza mbona hatu check in wakadai eti machine za kuprint boarding pass zimefail so they do it manually, tukaendelea kusubiri weee...
  5. Nailyne

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    it has been edited mkuu, nilichokuwa najaribu kusema ni habari iliyothibitishwa na sio cooked story , sorry kwa makosa yaliyojitokeza.
  6. Nailyne

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    R.I.P Kanumba...kama ni habari ya kweli inasikitisha, gone too soon
  7. Nailyne

    Je Unazo Siri Ambazo Hutozisema Hadi Ukifa?

    same applies to men Boss
  8. Nailyne

    Hivi huku sio kubaka kweli?

    -kuna maandiko katika biblia yanasema mume ana haki juu ya mwili wa mkewe alikadhalika mke juu ya mwili wa mumewe..... -sheria ya ndoa ya tz (LMA 1971) mume habaki mkewe ispokuwa kama wawili hawa wapo under separation hapa talaka inakuwa bado kutolewa.... -hivyo kwa mujibu wa dini na sheria...
  9. Nailyne

    Natamani kumwona tena

    si mlishamalizana unamtakia nini mwenzio ana ndoa yake tayari?
  10. Nailyne

    The guide: Ukishaamua kuwa na 'nyumba ndogo'

    mark my word:' nisijue wat goes around'
  11. Nailyne

    The guide: Ukishaamua kuwa na 'nyumba ndogo'

    Boss mwanaume atakayeza kumaintain nyumba ndogo kwa stail hiyo binafsi sina matatizo naye, ole wake nijue au treatment zangu kama nyumba kubwa zipungue hapatatosha, lakini huyo mwanamke atakayekubali kuwa treated that way sitamuelewa kabisa labda ndio wale wasiojitambua, au wako desparate mwanzo...
  12. Nailyne

    Nimeshindwa kumtabiri

    mnawezakuwa mnapendana lakini ujue hiyo ndio changamoto utakayo kuwa nayo probably for life..,anaweza kubadilika au asibadilike, so asipobadilika jua hilo ndio litakuwa pungufu lake kwa hiyo cha kujiuliza unaweza kuishi na mtu wa hivyo mkioana?? hautatafuta substitute wa compliment hiyo gap ya...
  13. Nailyne

    Ninavyojisikia

    here i am share it with me.
  14. Nailyne

    Gari ipi itanisaidia kubana matumizi

    mkuu shukrani sana info hii itatusaidia wengi humu,.
  15. Nailyne

    Gari ipi itanisaidia kubana matumizi

    tuwekee mawasiliano yake mkuu tupate details zaidi
  16. Nailyne

    Gari ipi itanisaidia kubana matumizi

    mweee JF kiboko...mkuu dongo hilo limetua mahala pake haswa! mwenzio fedha zangu za mafungu sasa hivi napunguza liability naongeza asset mkuu acha tu niwe na hivyo vigari vya wamama wa nyumbani as long as vitatimiza lengo
  17. Nailyne

    Gari ipi itanisaidia kubana matumizi

    nakushukuru kwa changamoto unazonipatia, ni kweli nahitaji kupangilia matumizi ya mafuta, ndio katika kujiuliza huko nikaona labda nikiwa na gari yenye cc ndogo naweza kuserve cost kidogo.
  18. Nailyne

    Gari ipi itanisaidia kubana matumizi

    nakushukuru mkuu , barikiwa sana, inshallah naamini ipo siku nitaweza kumudu gari ya cc 3000 lol ila kwa sasa bado nachechemea.
  19. Nailyne

    Gari ipi itanisaidia kubana matumizi

    shukrani mkuu umenisaidia sana
  20. Nailyne

    Gari ipi itanisaidia kubana matumizi

    unaweza ukaona hivyo ni mtazamo wako sawa, lakini kufahamu consumption ya mafuta peke yake sio kigezo pekee cha kununua gari, kuna vitu kama spear na upatikanaji wake, na uimara wa gari pia, vinginezo naweza kuishia nunua gari ambayo kila mwezi lazima tugawane mshahara na fundi garage, pole kama...
Back
Top Bottom