Mkuu Kubota asante sana kwa huu uzi, nimenufaika sana, nilikuwa na vitetea vyangu 3 ile february ulipoanzisha hii thread, na tulikuwa tunafuga kwa kula tuu with no extra care kwa hao kuku lakini baada ya kusoma uzi huu nikajifunza kitu, nikasema hao watatu watakuwa ni mtaji kangu! kwa sasa nina...
nilikuwa natoka mwanza tarehe 25 Nov,2012 jumapili kwa ndege ya ya saa mbili na nusu usiku, nimefika airport saa moja kasoro nakutana na msururu wa abiria tukiuliza mbona hatu check in wakadai eti machine za kuprint boarding pass zimefail so they do it manually, tukaendelea kusubiri weee...
-kuna maandiko katika biblia yanasema mume ana haki juu ya mwili wa mkewe alikadhalika mke juu ya mwili wa mumewe.....
-sheria ya ndoa ya tz (LMA 1971) mume habaki mkewe ispokuwa kama wawili hawa wapo under separation hapa talaka inakuwa bado kutolewa....
-hivyo kwa mujibu wa dini na sheria...
Boss mwanaume atakayeza kumaintain nyumba ndogo kwa stail hiyo binafsi sina matatizo naye, ole wake nijue au treatment zangu kama nyumba kubwa zipungue hapatatosha, lakini huyo mwanamke atakayekubali kuwa treated that way sitamuelewa kabisa labda ndio wale wasiojitambua, au wako desparate mwanzo...
mnawezakuwa mnapendana lakini ujue hiyo ndio changamoto utakayo kuwa nayo probably for life..,anaweza kubadilika au asibadilike, so asipobadilika jua hilo ndio litakuwa pungufu lake kwa hiyo cha kujiuliza unaweza kuishi na mtu wa hivyo mkioana?? hautatafuta substitute wa compliment hiyo gap ya...
mweee JF kiboko...mkuu dongo hilo limetua mahala pake haswa! mwenzio fedha zangu za mafungu sasa hivi napunguza liability naongeza asset mkuu acha tu niwe na hivyo vigari vya wamama wa nyumbani as long as vitatimiza lengo
nakushukuru kwa changamoto unazonipatia, ni kweli nahitaji kupangilia matumizi ya mafuta, ndio katika kujiuliza huko nikaona labda nikiwa na gari yenye cc ndogo naweza kuserve cost kidogo.
unaweza ukaona hivyo ni mtazamo wako sawa, lakini kufahamu consumption ya mafuta peke yake sio kigezo pekee cha kununua gari, kuna vitu kama spear na upatikanaji wake, na uimara wa gari pia, vinginezo naweza kuishia nunua gari ambayo kila mwezi lazima tugawane mshahara na fundi garage, pole kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.