Wazee kitu, NISSAN March , K11, wazee ni roho ya paka, mafuta inaenda kilometers 15, spare ziko available kila kona hii ndo Gari yangu ya mizunguko town,
Usiseme usichojua , huyo jamaa anasomesha watoto wasiojiweza na yatima wasiopungua 20, si kila afanyacho mtu akitangaze Mwaselela ni kijana anaependa maendeleo ya watoto na jamii inaowazunguka
Tungeomba mawakili wasomi wamsaidie, kuna hawa Mawakili wanao wasaidia wasanii, kwanini wasimsaidie mzee kutafuta haki ya Brand yake hii mhimu ya 900itapendeza, nadhani ingemnufaisha sana Dk. Shika.
Hello Habarini za asubuhi watalaam, Ninawebsite yangu ambapo huwa nina access kwenye Cpanel ,sasa kwa muda kidogo nimekuwa natumia ku login via Client Area kwenye website ya host wangu, sasa leo nimejaribu ku login kwa njia ya kawaida through my site nimeshindwa na nikwamba nimesahau password...
Thanks ngoja na mimi nipambane from the scrach yaan nina uhitaji mkubwa wa kujua hii fani ya webdesigning, nitakuwa mwenye furaha siku niki accomplish my mission.
Kwasababu najifunza peke yangu sio darasan kwahiyo nahitaji kwanza kuanza kwa soft tools nikishaelewa vizuri na sogea kwa hizo advanced system, na nione kama itanifaa kujiongezea kipato cha ziada
Sawa ,kwahiyo
Kwahiyo hawa jamaa siyo reliable ukilinganisha na WordPress, na kwani kunatofauti katika set ups, mi nilifikili nikijua hiyo itanisaidia kufanya kwa hata system nyingine kama hizo
Habari wana technolojia, nilikuwa naomba kupewa muongozo zaidi katika pitapita zangu za kujifunza kuhusu utengenezaji wa simple site, iliniweze kujiongezea ujuzi, nimekutana na hizi builders site, Wix.com pia webs.com.
Ningeomba kujua kwa wale wameshatumia hizi platform, je ipi ni bora na...
Duh, Mshana Jr, uko makini kwa kila Idara hongera sana mkuu, nimesoma Maelezo yako yamenipa kujua kumbe wewe ni level nyingine with special training both theoretical and maybe practical, By the way kuhusu umekuwa makini umegundua kuhusu tarehe Mapema kuliko aliyesain na aliyechapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.