Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza.Kwa maslahi Mapana ya Taifa kwa Ujumla Magufuli hatufai na anastahili kuondolewa mwaka 2020.
Wachache watajiuliza kwanini nasema hatufai??
Kwanza kabisa niwe mkweli kabisa sikuwahi kumuamini Magufuli katika nafasi yake ya Urais toka siku tu alipoteuliwa...
Mbowe ni kiungo mnyumbuliko.Kama ana minya kumbe ana piga.Huwez kumuelewa na ni bonge la kiongozi.Ni vigumu Sana kuwaweka Prof. Safari na Sugu wakakaa meza moja na kuelewana ila Mbowe kaweza Heshima zimuendee huyu jamaa.
Wabunge wa Tanzania hi hopeless kabisa.Wapo pale kusaka posho tu.Hawasomi makabrasha hakuna aliyekificha .
Na hapo ndipo ninapomkumbuka Tundu Antipas Lissu huwezi kumficha vitu kwa kutumia maandishi.
Tundu Antipas Lissu siku zote huwa ana hoja ya kutokea.Ni vigumu kushindana kwa hoja na huyu jamaa.Kitu alichotuzidi watanzania wengi Lissu anasoma na huwa anaelewa na hicho ni kipaji mtu anazaliwa nacho.
Porofesa Paramaganda anafundisha sheria ila hafanyi sheria.Anahubiri nini maana ya sheria...
Mjibu "OK".Hili jibu huwa linawaumiza sana nimekuwa nikilitumia sana na limeonesha matokeo chanya maana unamuachia homework nayeye ajiulize ina maana kumbe alikuwa hanipendi?Mbona hajaumia?So muda wote nimejicholesha kwake?
Ukishamjibu hivyo kaa zake sehemu tulvu ukitafakari maisha yajayo...
Soil testing huwa inafanywa na Geotechnical expert ambao si lazima awe Engineer.Nilichohitaji ufafanuzi wa mtoa uzi ni kivipi uzoefu wa Engineer site unamsaidia katika kidesign hasa kulingana na picha aliyoionesha hapo mkuu.
Designing is just about Dimensioning of the structural elements Columns,Slabs,Beams and foundations sometimes walls in accordance to stability.Structural member pekee inayoathirika na Conditions za site ni Fiundations ambapo Engineer anatakiwa awe na soil properties za eneo husika especial...
Magufuli alipoingia madarakani pamoja na mambo mengi pia alizuia mikutano ya kisiasa.Binafsi mwanzo nilihisi hii itamsaidia kupita kwa kishindo mwaka 2020 ila baada ya kutafakari nimegundua ATAPATA TABU SANA tena saaana.
Kabla ya kufikia hatua ya kusema atapata tabu sana nilijaribu kuwaza yeye...
Haya ni maswali ambayo watu wamekuwa wanajiuliza hasa wale waliokuwa wana muunga mkono Rais wetu mpendwa Dr. John Pombe Joseph Magufuli na sasa wamegeuka au kwa msemo mwingine wanasema wamebadili gia angani.
Wakati wa kampeni za mwaka 2015, kuna baadhi ya watu walikuwa wanamuunga sana mkono...
Hakuna aliyesema kuwa kuna pesa imeibiwa au imefujwa.CAG amesema kuna fedha zimeoneshwa zimekusanywa lakini kwenye matumizi hazioneshwa na pia pesa hizo hazipo kama bakaa BOT.
Na alipokuwa anahojiwa na azam TV alisema inawezekena hizo fedha zimetumika kwa matumizi mengine na serikali hivyo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.