At least breakfast ya maana ulikuwa unafidia maumivu pia ukiwa lodge hiyo nahisi ni grand hotel jina lake ,ukipeleka pisi ukaiambia huna hela tukutane gorofani pub baadaye inakuelewa!.
Futa kauli ya kusema bila jk kijana nape angekuwa anaendesha boda boda! Mzee Nauye ndo kingpin wa hao wote! Yaani bila Mzee Nauye hao ndo wangekuwa boda boda!
Hata Mimi na wish hivyo lkn ndo wishes only! Ni mwana mpendwa wa msoga huyo! Mpaka za uvunguni wanasema Mzee alianzia kazi singida! Sasa alipokuwa huko singida ...... Aiseeee acha tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.