Hizi taasisi mbili Simba na Yanga ni team zenye washabiki na wanachama wengi zaidi ya Chama chochote cha siasa hapa nchini,.. Mwekezaji mmoja mwenye hisa 49 ana nguvu na sauti kubwa sana katika msukumo wa sauti ya watu wake. Wamejifunza Congo kwa Moisse Katumbi,.. Mtu huyu anapohitaji hata...
Nakuomba usije kwetu mamdogo utatia hasara
Uyo mdogo wangu mwenyewe toka atoke shule hajala
Aaah bwana eh usinifate bwana
We si ukalale uwape mbu faida bwana
Hivi aliyekwambia uzime taa humu ndani nani
Kila ukija nyumbani we unaondoka
Kila ukija nyumbani we unaondoka
Nimetokea upande wa pili...
Kuna jamaa walikua wakiitwa Atomic na wengine walikua wakiitwa Wembe...
Hawa jamaa wa Atomic walipiga wimbo mmoja unaitwa "mzee Nanga"... Yeyote mwenye nao huu wimbo pamoja na zingine, za Atomic naomba aniwekee tafadhali....
Lipo la kujifunza sana kupitia mechi ya wapiganaji hawa iliyoisha masaa mchache ulopita...
Mwonekano wa Andy Ruiz haukunishawishi hata kidogo niamini kama ataweza kuhimili ngumi za kijana mdogo machachari Anthony Joshua kufika round ya 5.... Lakini kilichotokea ni hatari sana..
Joshua kapigwa...
Lipo la kujifunza sana kupitia mechi ya wapiganaji hawa iliyoisha masaa mchache ulopita...
Mwonekano wa Andy Ruiz haukunishawishi hata kidogo niamini kama ataweza kuhimili ngumi za kijana mdogo machachari Anthony Joshua kufika round ya 5.... Lakini kilichotokea ni hatari sana..
Joshua kapigwa...
Kile Chama kimepata Katibu mwenye fikra na busara zaidi ya mkubwa wake...
Katibu anawaza yaliyo na hekima ya uongozi zaidi ya aliye juu yake...
Mwenyekiti alifanya uteuzi wa kijana wake ndani ya Chama chake na kumfanya awe mkuu wa mkoa,.. Licha ya watu wengi katika nchi kupiga kelele kwamba...
Nilikua safarini kikazi Babati mkoani Manyara, nikaja kukutana na bint ambaye pindi nikiwa pale, tuliweza kuwa pamoja kama wapenzi
Siku ya kwanza katika mazungumzo yetu ya awali, nilihitaji kufahamu kama yuko kwenye mahusiano, akanambia yeye yuko kwa wazazi, hajaolewa
Ni kweli jioni...
Kwa serikali ya awamu ya 5 ya Tanzania, kutoa hukumu hakuhitaji uwe na elimu ya sheria……
Na kwasasa nimewadharau mahakimu wote wanaofanya kazi bila kufuata weledi wa taaluma yao na kusubiri hukumu itoke kwa bwana yule…
Wabunge huitwa kwenye vikao vya chama kabla ya kuanza bunge ili kupokea...
Aisee dunia ina mambo sana,… kuna jamaa kunipigia simu kabanisha sauti kwa heshima na taadhima akaniambia naitwa Thomas nani sijui napiga simu kutoka voda, mwenzangu unaitwa nani?
Nikamjibu, wewe kama muhudumu wa voda unashindwaje kujua jina langu lililosajiliwa kwenye line yangu!!? Hii baada...
Mimi nilikua ni mnene sana kulingana na urefu wangu, nilikua na kg 94 na mtambi mkuuuubwa sana sana,….
Hali hii ilinikosesha amani japokua wakati naongezeka mwili wengi hukupa maneno ya hongera wakimaanisha kama unene ni ishara ya mafanikio, ;… lakini kwa mke wangu alikua akinicheka na...
Maamuzi ya Serikali kununua korosho za wakulima limekua ni jambo jema na zuri kwa kuwainua wakulima, lakini maamuzi ya Serikali kununua ni hakika kuwa haukupangwa ndio maana kumetokea kauli za kutofautiana kati ya PM na JPM, limekuwa jambo la kukurupuka kwa serikali kwani nina imani kubwa...
[https://1]
Mbunge wa Kilwa Kusini, Suleiman Bungara maarufu Bwege, (CUF), amesema alifuatwa ili akubali kununuliwa kwa kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM), akakataa.
Bwege amesema hayo jana Alhamisi Novemba 8, bungeni jijini Dodoma, wakati akichangia Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa...
Msaada kwa wale wateja na watumiaji wa king'amuzi cha Dstv…
Naomba kuulizia kuhusu tofauti ya channels za bundle la 19,000 na lile la 36,000… je kuna channels za move zinazoongezwa kwenye bundle la 36,000?
Nimekua nikipitiapitia post nyingi humu ndani za watu kutafuta mke/mwanaume, lakini sifa zinazoanishwa hapo haziendani na zile post zingine zinazoelezea malalamiko na kero za ndoa.
Yaani niseme labda mtu anasema mimi natafuta mke…. 1. Msomi mwenye degree 1 na zaidi.
2. Awe mrefu na mweupe
3...
Nasoma kitabu cha Yoshua bin Sira (biblia )… ...22:7-11
7 Amfundishaye mpumbavu ni kama anayeunga vigae, ni kama anayeamsha mtu aliyelala usingizi mzito.
8 Anayeongea na mpumbavu anaongea na mwenye kusinzia, naye mwishoni atasema " kuna nini? "
9 Mlilie aliyekufa maana amepotewa na mwanga, na...
Nilitegemea baada ya siku 3 MO atakua amepatikana kama alivyotuahidi mwenyekiti wa kamati ya ulinzi wa mkoa.
Hii ni kutokana na utekaji wa kwanza wa Roma kutuahidi na kweli utabiri ulitimia…
Vipi mbona kimya mkuu harudi kutupa mrejesho na kututia moyo sisi tunaesubiria ahadi ya unabii!?
Nilitegemea baada ya siku 3 MO atakua amepatikana kama alivyotuahidi mwenyekiti wa kamati ya ulinzi wa mkoa.
Hii ni kutokana na utekaji wa kwanza wa Roma kutuahidi na kweli utabiri ulitimia…
Vipi mbona kimya mkuu harudi kutupa mrejesho na kututia moyo sisi tunaesubiria ahadi ya unabii!?
Nilitegemea baada ya siku 3 MO atakua amepatikana kama alivyotuahidi mwenyekiti wa kamati ya ulinzi wa mkoa.
Hii ni kutokana na utekaji wa kwanza wa Roma kutuahidi na kweli utabiri ulitimia…
Vipi mbona kimya mkuu harudi kutupa mrejesho na kututia moyo sisi tunaesubiria ahadi ya unabii!?
Natafuta aina mpya hii ya machine inayoweza kutoa tofali 2 kwa wakati mmoja.
Yeyote anayefahamu zinapopatikana na bei yake, tafadhali naomba anifahamishe, naihitaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.