Habarini Wakuu na wajuzi wa mambo, mafundi wazoefu na wamiliki wa malori. Naomba kujua kati ya izo engine za mistubishi canter:
1.4D 33
2.4D 34
3.4D 35
Ipi ni bora kwa canter mayai ton 3.5 interms of cost of maintenance, service, running cost, fuel consumption, optimal performance, power...
Wakuu habari za leo?
Naomba wataalamu wanisaidie hili. Gari rav 4 killtime ina vibrate sana kwenye usukani na hasa ikiwa silent utadhani trecta. Niliipeleka kwa fundi akasema labda engine mounting zimeisha.. tukabadilisha zote lakin hamna mabadiliko yoyote kabisa.
Tukabadilisha na plug...
Habari za leo wadau?
Naomba kujua namna ya kuangalia jina la mmiliki wa gari kupitia mtandao bila kwenda TRA kwa kuingiza detail za plate number tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu..
Kuna rafiki yangu Jicho lake la kushoto linacheza cheza( This is involuntary) na sio kwamba halioni hapana bt linacheza cheza linatulia baada ya mda kidogo linacheza tena ( NB: siyo kope zinacheza bt nadhani ni misuli cjui kwa ndani so atakapokwambia umuangalie huez kunotes kwa...
Msaada kwa ma expert mimi nina tatizo la kupata majipu ambapo kuna kipindi lilianza kidevuni nikalikamua baada ya kama week likaja tokea pajani.
Likauma nikawa nashindwa kutembea vizuri but nikalikamua likaisha after few weeks likanitokea tena kalioni ikaamua kwenda hospitali maana i sawa this...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.