Habarini Wakuu na wajuzi wa mambo, mafundi wazoefu na wamiliki wa malori. Naomba kujua kati ya izo engine za mistubishi canter:
1.4D 33
2.4D 34
3.4D 35
Ipi ni bora kwa canter mayai ton 3.5 interms of cost of maintenance, service, running cost, fuel consumption, optimal performance, power...
Habari wakuu.
Naomba muongozo wa kununua vitu Alibaba. Pia kingine kinanichanganya ni pale shipping inakua very expensive compared na bei ya bidhaa, pia hapo naomba msaada wa kupata cheaper shipping agent.
Mada ngumu sana hii coz ugumu wake una aspect mbili ambazo ukizingatia zote ni muhimu sana kwa maisha ya mwanadamu.
1. Economically
●Economically tunasema nyumba na gari ni liabilty ( kwamba ni vitu ambavyo sio vizalisha pesa bali vitumia pesa) unless upangishe ikupe pesa au iwe gari ya...
Kama huwezi msaidia mtu kimawazo ni bora ukae kimya kuliko kumshauri mtu vitu haramu kwa Mungu hata kwa serikali yalenyewe.. Soma comment pita kushoto..
Hiv kufunga ni kuacha kula au kufunga ni kuacha matendo maovu uliyokua unafanya pia unakua umefunga? na kwamba ukishamaliza mfungo unaendelea na matendo yako maovu uliyokua unafanya kabla ya mfungo?
Naombeni tafsiri ya kufunga na inahusisha mambo gani ya kufanya?
Asante
Poleee sanaa mkuu kwa yote kabla ya kukushauri lazima nikuambie umezingua uzi wako[emoji3][emoji3][emoji3] yaan story ya maana imekuja mwishoni ile ya kwanza sijui uliiweka ndefuuu bila maana japo ulitaka tujue historical background ya uyu mtu wako.
Mosi, nashindwa kuelewa ilikuaje ukakubali...
afu mkuu mimi naona TV nyingi tunauziwa ni FHD hizi 4k wanaandika kwenye maboksi tu kuipamba[emoji2][emoji2][emoji2] unless zile za OLED TVs zile kweli zina 4k hadi 8k
afu ukiwa unanua TV mkuu make sure quality ya picha inakua sawa kila pande unayokaa kuitazama. maana kuna TV siku izi zina vioo fake ukikaa pembeni unaona watu kama wanafifia au kama zile negative kwenye camera za kizamani[emoji2][emoji2][emoji2] au mara watu kama watu...
Mkuu kwa sebule yako tv isipungue inchi 43" so inatakiwa inchi 43 na kuendelea mana sebule ya 6x4m ni kubwa iisee.
Kuhusu Brand nzuri yenye picha very quality na isiyopungua with time nunua
1.Sony
2. Samsung
3.LG
kwa hizi brand za kawaida nunua TCL kidogo ukashindwa kabisa nunua HISENCE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.