Natafuta chuo kinachofundisha ufungaji wa cctv cameras na mambo mengine yanayoshabihiana.Mwenye kujua tafadhali naomba msaada.Kuna sku niliskia kwenye radio wanatangaza bahat mbaya sikujua ni radio ipi coz nilikua napita mtaani.
Sijaelewa ni kwa nini kila nikilala nitastuka kabla ya asubuh iwe mara moja,mbili au tatu nakuwa nasikia kiu ya maji sana.Yani ile kiu balaa kias siwez vumilia lazima ninywe maji ata funda moja.Mara nyingi haipiti masaa mawili baada ya kulala lazima niamke nikiwa nasikia kiu. Hali hii haikuwepo...
Kiukweli nimeshangazwa.
Nimeenda kununua jezi mpya za Yanga GSM mlimani city nikaambiwa jezi hakuna na zinapatikana sehemu moja tu Sandalend Kariakoo sababu Sandalend kanunua mzigo wote wa kwanza wa jezi.
Kiukweli nimestaajabu.
Kwa hiyo hauwez kupata jezi had uende kariakoo au maeneo ambayo...
Gari yangu ya biashara imegongwa mwezi wa tano sasa na polisi hawataki kumpeleka mahakaman dereva aliyegonga gari yangu ili nikadai bima yake.
Za chini ya kapeti jamaa kapitisha mlungura chini.Hasara ninayoendela kupata toka gari imepata ajali ukiachilia mbali kushindwa kulipa kodi ya serikali...
Nimetoka home nikampitisha mwenzangu Sinza kwenye mihangaiko yake kisha nikaelekea njia ya Bamaga ili kuelekea town.
Nimefika Bamaga taa zikazuia na mimi nilikuwa mtu wa kwanza kabisa kusimamishwa na taa.
Pembeni mbele kuna traffic alikuwa kasimama.
Baada ya sekunde kadhaa kanifata na...
Kuna clip inatembea ikimuonyesha mchezaji Bernard Morrison akiwashukuru Hans Pope na Crescent Magori kwa kukamilisha usajili wake uku akiwa amevaa jezi ya Simba.
Kwa inavyoonyesha usajili huu sio wa Jana wala juzi bali toka zile sarakasi zilivyoanzishwa na Morrison,labda ni miez imepita.
Hans...
Siku za hivi karibun kumekuwa na ongezeko la wagonjwa wengi wa figo.Wataalamu na Madaktari tunaomba mtuambie ni wapi tunakosea ili tuweze kuepukana na hili tatizo au kuna nn kilichojificha nyuma ya pazia ambacho watu hatukifaham kinasababisha hili tatizo.
wizkid ambaye ni msanii wa nigeria na hasimu mkubwa wa davido ameitakia happy indepence day Tanzania.Hii imekaaje au ndio kutumia fursa kwa lile wingu lililoibuka upande wa davido na watanzania.
Kweli wenzetu wanajua kutumia advantage
msaada wenu tafadhali waungwana,kuna mfanyakazi wa hii benki nimemkopesha pesa kwa ahadi angenirudishia baada ya kupokea mshahara wake wa mwezi wa 11.
Tatizo linakuja mwezi umeisha na yeye anadai bado hawajapokea mshahara hadi leo tarehe 07/12 na anasisitiza ni kweli bado hawajapokea...
Napita zangu kurudi home nikakuta mitaa ya survey watu kibao wamejazana pembeni ya barabara,kushuka kuuliza kuna nini mbona watu wengi,naambiwa wazee wa boxer wamepita km dakika 20 zilizopita wakiwa si chini ya wanne hivi,wamepora pesa kwenye maduka matatu na kibanda cha chips na pia wamekimbia...
Inaisha wiki ya tatu sasa nafuatlia leseni ya biashara katika ofisi za halimashauri manispaa ya kinondoni lakini ninachoambulia ni maneno yaleyale kila siku,'leseni bado hazijafika kutoka huko wanakoagiza na taarifa washatoa kwa ngazi zinazohusika''. Kiukweli mnaturudisha nyuma kimaendeleo na...
Nauza kiwanja mbezi shamba,20X20,bei Mil 5
Kipo Mbezi Luis kama unaenda njia ya goba unangia ndani kidogo, viwanja vya jirani washaanza kujenga na wengine wanaishi tayari.
Only serious buyer anaweza ni pm
Habari zenu wadau!Natafuta msaada wa kisheria katika masuala ya bima.Nahitaji kufungua kesi kuishitaki kampuni moja ya bima kwa kutolipa madai yangu na kukaa kimya bila kujibu madai yangu,tatizo nimeenda law firm moja wanataka hela ambayo ni nyingi kwangu kwa sasa,naomba mwenye uelewa wa masuala...
Mzee wa upako aibuka akimfagilia JK
Na Edmund Mihale
MCHUNGAJI wa Kanisa la Maombezi, Anthony Lusekelo 'Mzee wa Upako' amesema kuwa wanaompinga, Rais Jakaya Kikwete katika utawala
wake wapo katika ushindani lakini hawatashinda katika vita hiyo.
Akizungumza na mwandishi wa habari Dar es...
Nakambuka mwaka 2000 na 2005 ambapo CUF walikuwa wanaongoza upinzani Tanzania,walikuwa wakiandaa maandamano na watu walipigwa mabomu na wengine kupoteza maisha ,lakini leo hii wanakataa maandamano ya amani ya CHADEMA ambapo hamna hata mtu aliyejikwaa wakiita ni uvurugaji wa amani,Je kipindi...
Hivi karibuni kumekuwa na matangazo mbalimbali yakitoka kwenye mabango na Television lakini hayabebi uhalisia kutokana na muonekano wa washiriki wa matangazo hayo
Mfano:
kama umebahatika kupita maeneo ya sinza Afrika sana karibu kabisa na kona baa(corner bar/Ambianze night club)
kuna bango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.