kwa mtazamo wangu Mourinho ndio kocha pekee aliyeonyesha outstanding results kwa kuchukua makombe kwenye premier league za nchi nne tena kila anapoingia kwenye msimu husika. guardiola aliingia Bayern ikiwa imetoka kuchukua makombe matatu, hivyo hivyo alovyoenda barcelona
hakuna kocha atakayefundisha timu zenye wachezaji wa sasa wa Barcelona na Bayern Munich asipate sifa. huyo Goardiola ajiandae kuondoka kama wenzake. ni kocha aliyedandia mafaniko ya wenzake waliokuwa wametengeneza timu. Time will Tell
huu ni usanii. kwa mfano mwanafunzi aliyestahili mkopo wa ada kwa asilimia 80% anaambulia 20% asilimia 60% iliyobaki inaenda kwa wanafunzi wa tatu hapo si utakuwa umeongeza wakopeshwaji huku wengi wakiteseka.
ninachojiuliza ni kuwa huyu mtu amekuwa hapa nchini kama mtumshi wa benki na amekuwa akisafiri Je? amekuwa akitumia hati ya nchi gani? kama ni Tanzania alikuwa mtu Maaufu kama CEO wa benki kubwa kwanini hakuweza kugundulika? Je kugundua muda huu uweledi wa Uhamiaji katika kukamata wanaofoji hati...
Ndugu wana JF,
uchaguzi wa madiwani na wabunge umeshamalizika Dar es Salaam. Je, kuna uwezekano wa mameya kutoka upinzani kwa mara ya Kwanza?
Maana kwa Segerea madiwani wote ni Ukawa, sijajua mgawanyiko kwa majimbo mengine.
huo mama sio mkazi wa kibamba wala bungo amekwnda kutafuta tikei ya ulaj tuu. akipata kura nyingi sana ni 2,000 zitakazotokana na ushawishi wa bahasha unaoendelea
mmesahau mwaka huu kura za Zanzibar ndio zitakazoiangusha ccm maana walizoe kuzibeba zote na nyingine zilienda kwa lipumba this time kura 1,000,000 zitatoka Zanzibar. hii ndiyo magin ccm wamekuwa wakiitumia kwa faidi plus mabao ya mkono amabayo mwaka huu hayatakuwepo kwa juhudi za kulinda kura...
a power monger never resigns to account for other's mistakes, rather is the one who stays in office despite audit report findings of loss of billions keeps vying for higher positions
ogopa mtu mwenye mashavu yaliyokonda mara nyingi wanakuwa wachawi kama sio wachawi basi ni wachoyo na wabinafsi hata kwa wao wenyewe ndio maana hawanenepi. kwa ufupi roho mbaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.