Dah! Siasa siyo uadui ndugu, halafu amini nakwambia mahali popote penye monopoly huwa hakuna maendeleo. Hizo Bomberdier sijui flyover umpata kwa sababu ya upinzani. Ngoja uone sasa radha ya bunge la chama kimoja.
Kwa msaada wa CCM, Zitto and Co. waliipora ACT Tanzania toka kwa akina Kidawi na kuibadili jina kuwa ACT wazalendo. hawakuianzisha. ACT Wazalendo ni mtoto wa kuzaa wa CCM.
Msongo hawezi pata na uchaguzi atashinda ila tume itawapa mbogamboga kama ilivyozooleka, kubwa atalotusaida Maalim ni kutoonyesha unafiki, fitna, wizi na kuyafichua mauchafu yote ya CCM.
Jamaa anachukuaga fomu za urais halafu baadae anajitoa kugombea halafu anawaelekeza wanachama wake wampigie kura mgombea wa CCM, bangi zina madhara mbalimbali.
Katika maisha ya Binadamu kila jambo lina mwisho wake. Hii Dunia iliishapata kuwa na watu mashababi kweli kweli lakini wote imebaki historia. Na nyinyi pia itabaki historia tu. Yote yana Mwisho, jitahidini kutenda mema ili muwe na mwisho mwema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.