Search results

  1. D

    Ni kwa namna gani CHADEMA itakuwa moja tena bila pesa za ruzuku?

    Dah! Siasa siyo uadui ndugu, halafu amini nakwambia mahali popote penye monopoly huwa hakuna maendeleo. Hizo Bomberdier sijui flyover umpata kwa sababu ya upinzani. Ngoja uone sasa radha ya bunge la chama kimoja.
  2. D

    Uchaguzi 2020 Tuliwaonya CHADEMA mkimsimamisha Lissu ndio mtafutika rasmi Tanzania

    Vipi M baba? bado unakiamaini ulichokiandika hapa?
  3. D

    Nilichokisikia kwenye Press ya leo pale Ufipa nimekata tamaa sana

    Ndo lile kundi pendwa la ccm, kujibishana na wewe ni kupoteza muda kama Robert tu huwezi kuiandika
  4. D

    Upendo ndiyo huu, Rais Magufuli na Lowassa

    Na matusi yote yale waliyomtukana kule Geita eti kajinye....aa!
  5. D

    Mbunge wa Temeke, Abdallah Mtolea ataka CHADEMA ifutiwe usajili

    halafu maisha yako yatabadilika, utakuwa bonge la millioenea au siyo.
  6. D

    Siri ya Chuki ya Mwigamba dhidi ya Zitto Kabwe

    Kwa msaada wa CCM, Zitto and Co. waliipora ACT Tanzania toka kwa akina Kidawi na kuibadili jina kuwa ACT wazalendo. hawakuianzisha. ACT Wazalendo ni mtoto wa kuzaa wa CCM.
  7. D

    Chadema itashinda Urais 2020 hata bila TUME HURU

    Sema haitotangazwa kuwa imeshinda.
  8. D

    Chadema itashinda Urais 2020 hata bila TUME HURU

    Wanaweza. Magufuli ana damu mikononi Lissu hana.
  9. D

    Maalim Seif: CCM haijawahi kuacha hujuma, nasi hatujawahi kushindwa uchaguzi

    Msongo hawezi pata na uchaguzi atashinda ila tume itawapa mbogamboga kama ilivyozooleka, kubwa atalotusaida Maalim ni kutoonyesha unafiki, fitna, wizi na kuyafichua mauchafu yote ya CCM.
  10. D

    Siku, dakika za mwisho kabla ya Ben Saanane kutoweka

    Kwani Lisu nae hajulikani alipo?
  11. D

    Naomba kufahamishwa kuhusu FAHAMI DOVUTWA

    Jamaa anachukuaga fomu za urais halafu baadae anajitoa kugombea halafu anawaelekeza wanachama wake wampigie kura mgombea wa CCM, bangi zina madhara mbalimbali.
  12. D

    Matokeo ya kuingiliwa siasa zetu na nafasi yetu katika kukemea na kudhibiti, Katibu mkuu wa CCM kafungua njia tuifuate. Case study: uchaguzi S/M

    Katika maisha ya Binadamu kila jambo lina mwisho wake. Hii Dunia iliishapata kuwa na watu mashababi kweli kweli lakini wote imebaki historia. Na nyinyi pia itabaki historia tu. Yote yana Mwisho, jitahidini kutenda mema ili muwe na mwisho mwema.
  13. D

    Katibu Mkuu wa CCM atoa onyo kwa Membe akimtaka kutokuwa juu ya katiba ya chama

    Dk. Bashiru Ally mwana CUF aliye ukwaa Ukatibu Mkuu wa CCM
Back
Top Bottom