"Baby naomba unicredit vocha ya elfu 10, na ukija hostel usisahau kuja na chips kuku mzima be coz nipo na friends zangu, afu nadaiwa laki tatu nilikopa mpenzi wangu na plz sweet naomba uniongezee elfu 90 ya vitabu na elfu 50 ya saluni c unajua weekend! I luv u mwaaahhh."
Mm Nilifikiri Chadema Wakorofi Bungeni tu, Kumbe Mpaka Hotelini.!!
Jana wakati wanakula walianza (Wenje) Mwongozo wa Mwenye Hotel, chumvi haitoshi.
Mnyika: Taarifa Mheshimiwa., Mchuzi unaonekana wa Jana siungi Mkono Hoja ya Kulipia Chakula hiki.
Tundu Lisu: Mwongozo mwongozo, Niliagiza...
Polisi wapo katika upekuzi mkubwa wa kutafuta matahira wanaosoma vichekesho kwa macho na kimoyomoyo.
Kutokana na hilo, upo chini ya ulinz!
Na kwa kuzidi kuonyesha kuwa wewe ni tahira totally eti bado unaendelea kusoma kwa macho na kimoyomoyo!
Haya mikono juu haraka...!!!
A
B
C
D
E
F
G
H
I
J
K
L
M
N
O
P
Q
R
S
T
U
V
W
X
Y
Z
1
2
3
4
5
6
7
8
9
0
!
"
#
?
%
¥
-
+
;
Hapa sasa mzuka! Nilikuwa na'test batan za SIMU yangu.
Sorry!
....nasikia hawa wazaliwa wa kwanza wamezaliwa kwa bahati mbaya au wazazi wao walikuwa wanajaribu tu na wengi ni vyanzo vya ndoa baada ya kupata mimba zisizotarajiwa na kulazimika kuishi pamoja...
...Yahaya Hussein anakiita chama kuzimu, usipobadili mwenendo na kumwomba Mungu kwa kutenda yanayompendeza hakika chama kitafariki.
...maji mafupi ameweka "chuma ulete" kwa mifuko ya watu ndio maana wananchi wanalalamika maisha magumu.
....mwanao hakufeli ila walikujaribu na kutaka...
Kuna mwalimu mmoja ambae yupo kwenye mafunzo kwa vitendo, kutoka chuo kimoja hapa tz alietoa kali ya mwezi.
Siku aliokuwa anafanyiwa 'assesment' alichanganyikiwa vibaya mno.
Kaingia class na vifaa vyake vya kazi, kaaza kufundisha huku mwalimu wake akimwangalia kwa umakini mkubwa.
Jasho likawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.