Search results

  1. M

    Mbeya roofing sheet

    Migongo mipana bei gani na migongo midogo bei gani?
  2. M

    Bei ya bati za rangi resin coat

    Bati hizo hapo juu sh ngapi na je wanauza kwa moja au kupima kwa mita?
  3. M

    Simu za TIGO huawei y330 na y530

    Na y 330 sh ngapi mpya?
  4. M

    Msaada huawei y300

    Bei gani huawei y300 nataka kununua mpya
  5. M

    Mwenye taarifa ya uhamisho wa watumishi wa umma, June 2014

    Subiri huwa wanatoa wiki ya pili julai
  6. M

    Walimu wapya waliokosa mishahara mwezi aprili kupewa dabo mwezi huu

    Hakuna hiyo kitu mnajidanganya mtapewa wa mwezi huu then wa april mtaudai .ukisikia malimbikizo ya mshahara ndio hayo
  7. M

    Ukweli kuhusu Udsm huu hapa

    Mzembe mkubwa wewe hausomi.watu tumemaliza hapo wala sup
  8. M

    MSAADA:kibari cha kubadilishana kituo cha kazi

    Barua uliyoomba uhamisho iliyopitishwa sehemu zote, barua ya nafasi kule unakoenda(wanakujibu unakoenda) ,kibali cha uhamisho (atakuandikia ps wa Ded au utumishi), Then kitambulisho cha kazi na current salary slip .vyote hivi utafunga mafungu 3 .moja litabaki masijala wilayani kwako ,mawili...
  9. M

    Kwako Lema - Mbunge wa Arusha mjini

    Lema hamna kitu ni bingwa wa kuropoka tu
  10. M

    MSAADA : Bachelor of arts with Education(Baed)

    Baed kuna teaching subjects kama vile history na geog .kwa hiyo mtu huyu anaweza soma masters zinahusiana na history, pia masters zinazohusu jiog
  11. M

    Uhamisho wa watumishi 2013/2014

    Mwenyewe nasubiri kutoka musoma kwenda masasi
  12. M

    Serikali hapa mmeniibia na pengine mmewaibia na walimu wengine

    Heslb wanakata muda wowote mkuu sio lazima itimie miaka 2.lakini wanakata 37536
  13. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kwa waliofanikiwa kuhama kwa kubadilishana. Hivi kibali cha uhamisho anaomba mkurugenzi au mwombaji mwenyewe kwenda tamisemi?
  14. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    mtu aje musoma niende lindi au mtwara
  15. M

    ushauri kuhusu kuacha ualimu

    ushauri wa nini? Acha kazi uone kazi kupata kazi. Kitaa kinakusubiri
  16. M

    Uhamisho wa Watumishi toka TAMISEMI January 2013

    yametoka nenda web ya tamisemi
  17. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    nipo mara nahitaji kwenda lindi
  18. M

    Najua warala wa mishahara haupo, niijuavyo JF SI KUKAA MUDA WOTE HADI SASA MWEZI WA 7?

    sasa wewe ni mbishi waraka upo mimi mwenyewe nimeusoma lakini mishahara na madaraja yamewekwa kama mapendekezo.Mf wamependekeza walimu wa dip waanze na TGTS E Digree F .Dip sayansi wanaanza na E5, degree sayansi wanaanza na F5.Na madaraja yameongezwa hadi ukomo wa J.sasa sijui mapendekezo haya...
Back
Top Bottom