Mwanaume gani Dar Hii anakubali kumwosha mkewe miguu? Mimi hua namwosha na kumkata kucha ila ikifika zamu na mimi nahitaji hiyo huduma hataki kabisa kusikia, hapo ndipo tunaenda saloon sasa. Sidhani kama saloon tunafuata tu huduma ya kuoshwa miguu, kikubwa ni massage unayofanyiwa wakati...
kweli wanaume wengine wamefilisika Kimawazo/kimtazamo.
Huyo mkeo mmeoana ili mkomoane? kua na hela kuliko mkeo ndio sababu ya kumfanya mtumwa.
mbona hujawasaidia wanaume ambao wana kipato kidogo kuliko wake zao? Kama wake zao ndio wanalipa bili ya maji, luku kusomesha na kadhalika, je wanaume...
Ndoa za Kikristo hazisemi hivo Mkuu. Mke/Mme unaweza kumwacha kwa sababu za uasherati.
Yeye akale Uroda huko nje aje na Ngoma halafu niendelee kumkumbatia, wakati kayataka mwenyewe? Labda nisijue na nijikute kashaniambukiza.
I stand to be correct....
Ukiona ndoa inaingiliwa na ndugu, Mama/Baba mkwe, mawifi na mashemeji. Tatizo mara nyingi ni udhaifu wa Mwanamme.
Mume anashindwa kutenganisha kati ya ndugu/wazazi na Mke, na majukumu gani anapaswa kufanya kwa ndugu au Mke.
Sikatai kwamba kuna baadhi ya wanawake...
Nashukuru sana Riwa kwa kuliona hilo, Mabinti wengi sio hulka yetu kusema tukiwa wahitaji.
Mimi ni Mpweke sanaa.. Nahitaji wa kuniliwaza....
Ni PM tu, nitajibu bila hila...
Umeongea ukweli mtupu AshaDii, unakuta mwanamke mpole, au alishawahi kusema siku moja akapata response ambayo sio nzuri, na hata akapata majibu kabla hata hajamaliza kueleza anachotaka kusema, ukweli kuna wanaume ambao hawana mda wa kusikiliza mawazo au kujua hisia za wake zao, kila anachofanya...
NN, assume you have a lot of money, But you dont have Kid. Will you be happy?
Mimi naamini furaha maishani haisababishwi na kitu kimoja. Ni mchango wa vitu vingi, pamoja na kwamba, kua na familia yenye upendo, fedha na kua na marafiki wa kweli (kujisikia kuna watu wanakujali) kunachangia utamu...
Mkuu, sikubaliani na wewe hata kidogo.
Mwanamke kukubali akitongozwa inategemea na malezi, hali yake ya kiroho, upendo ndani ya familia nk nk.
Mwanamke ambaye akitongozwa hukubali kirahisi, yawezekana kabisa yuko kubiashara zaidi, lakini sio mtu aliyeamua kutulia na familia/ndoa yake na mwenye...
Mkuu,
Hii inatokana na mambo mengi sana.
1.Staili ya maisha tunayoishi. Unakuta mama/Mwanamke anatoka home na gari na kurudi na gari. Hafanyi kazi yoyote inayouchangamsha mwili, home ana House Girl anayemfanyia kila kitu.
2.Vyakula tunavyokula, unakuta mtu anapiga bia +kitimoto +maji ya baridi...
Pole sana Mkuu, unaposema alikuambia kua anakudanganya unamaanisha nini? Kwamba alikua haishi na huyo jamaa au? je kwa uchunguzi wako umebaini nini juu ya mahusiano ya huyo jamaa?
Ushauri Wangu:
1.Kama unaumia ni dhahiri kwamba bado unampenda, na kidonda cha kuachwa/kuachana na mtu aliyeujaza...
Mbona mnawashambulia sana wanawake? sithan kama ndio wenye hilo tatizo tu, hata baadhi ya wanaume wanayo.
Jambo la msingi kama mtu hajakumbuka au hajakupigia, jua nafasi yako katika akili yake sio kubwa kihivo, au yuko Busy na mambo mengine.
Wengine ni mazoea tu, wala hawakumbuki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.