Hivi tumekosa mtu wakumpa Urais Tanzania kwa mawazo yangu Rais ni Magufuli ingawa wanafanya njama za kumpoteza katika anga za siasa.na kama Tumeshindwa kabisa Ebu Tumuombe Benjamin Mkapa arudi tena yeye ndiye mkombozi pekee wa Tanzania jamani. Mkapa oeeeeeeeeee.
Ni kweli usemayo yaaani alitendalo mungu binadamu hana nafasi ya kutengua tumuachie mungu hayo yote.loo yaani ni sh 500 tu do yaani nim kweli ni miujiza ya mugu
tunajifunza nini kati ya wanfunzi na serikali ya tanzania hivi ni kukosa uvumilivu kwa wanafunzi mwa miaka hii au serikali inashindwa kutoa huduma vizuri kwa wanfunzi
hata mimi ninashangaa kwanini kwa halmashauri tu na ofisi zingine za serikali zainaendelea kununua magari ya kifahari.dah unapomnyooshea tu kidole nawe jiangalie uko vp
TIBAIJUKA MAGUFULI ALIONDOLEWA HUKO BAADA YA KUTAKA KUSIMAMIA KIDETE VIWANJA VYA WAKUBWA WA NCHI HIII ILI VIWANJA VIRUDI SERIKALINI,NASHAURI WASILIANA NA MAGUFULI KWANZA UPATE ABC YA wizara yako
Yaani tukizungumzia maendeleao ya barabara,tunamzungumzia magufuli yaani jamaa ni mchapa kazi sana,kila wizara unayopelekwa unang'ara,nyota yako haifichiki,baba ningekuwa ninateua nani agombee urais mwaka 2015 ningekuteua na kura ushindi wa chama cha ccm ungekuwa asilimia 90
Tido Umeanza wengine watakufuataa ,wakurugenzi wa majiji,manispaa,wilaya mliyosimamia uchaguzi na vyama pinzani vikashinda kaeni mkao wa kunyolewa hii ndio CHAMA KUSHIKA ATAMU,hamlijui hilo tanzania?hauwezi kuchaguliwa kuwa kiongozi ukawa si mdau wa CCM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.