Kunasababu nyingi za kutaka kujua nani amekublock kwenye account yake :mad: ? Whatever the reason kujua ni hatua chache moja wapo ni kuclick FOLLOW button kama amekublock hata ubonyeze follow mara 10 haitokubali ujue hapo yaweza kawa amezima account kwa maelezo zaidi..
========
Source...
Kipindi hichi cha EURO 2016 Facebook messenger wameiachia game ya soccer ambayo watu walikuwa wanaisubiria, kama unakumbuka ile ya basketball it was VERY FUN, lakini hii ya soccer it's MUCH FUN. kinachohitajika emoj nothing else here
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.