Habarini wanajamvi,
Miaka 5 nyuma wakati tuko chuoni tunakaribia kuhitimu vijana wengi tulijipa moyo kuwa ajira zipo kutokana na programme tulizokuwa tunasoma na wengi waliotutangulia walipokuwa wanatupa yaliyopo huko tulikuwa wengine tunayapuuza lakini hivi sasa naamini vijana wengi...
Habarini za asubuh wakuu,
Mimi ni muhanga wa kupiga nyeto maana kama mnavojua kuna muda mpenzi anakuwa mbali inabidi tujihudumie maana kwenda kuokota mali za barabarani sijazoe.
Sasa kinachonipa wasiwasi ni kwamba unakuta labda leo nimepiga nyeto halafu siku moja baadaye nikija kufanya mapenzi...
hakutafuti mpaka umtafute,,, ukimuuliza utasikia bundle limeisha, mara nilikuwa nafua, mara kulikuwa na kikao cha familia, mara akiwa home akaagi na simu karibu.
Halafu cha ajabu ukiwa naye karibu simu anakuwa nayo busy muda mwingi.
Mkitoka out kama ni mnywaji hanywi pombe au beer za bei...
hongera mkuu kama unataka kijiwe cha mtaa na huna connection basi ujue kuna gharama utahitajika kutoa. Mimi mwenyewe ni bodaboda huku kitaa kwetu, mwanzoni walikuwa wananimaindi ila niliongea na wakongwe wakapitisha hakuna boda kunisumbua. Boda ina pesa ila unatakiwa kuwa mvumilivu na makini...
maneno ya watu kama hao huwa kwangu yanaingia sikio la kulia yanatokea sikio la kushoto....kama nauwezo wa kuingiza faida ya sh. 60000 kwa mtaji wa mafuta ya sh. 15000 na hapo nafunga hesabu saa moja jioni. kwann nibabaishwe na maneno ya wakosa maarifa?? au wanataka watu wakakabe huko mtaani??
upo sawa ila kila mtu anaplaNi na malengo yake...Kikubwa mwisho wa siku ugali unafika mdomoni na maendeleo mengine. kama nikiwa nauwezo wa kumiliki pikipiki 10 huoni nitakuwa nimesaidia jamii kwa kuajiri vijana 10 ??
Habarini wakuu.
Najua watakaopitia huu Uzi ni Watu wa Rika mbali mbali kuna waliofanikiwa, kuna wanahangaika mtaani na kuna wale ambao wapo masomoni bado na kuna wale ambao hawaelewi wafanye nini mtaani.
Mtaani kuna kazi za aina mbalimbali ambazo mtu unaweza ukaamua na ukafanya kama una mtaji...
Kwahiyo hapo ulipo hauna moyo au! Wanaume wa siku hizi hatuhangaishwi na mwanamke mmoja!! Hizi zama ni kuchagua tu papuchi ila hakikisha mfukoni unamawe
We unataka kumuoa??? Kama unataka tu papuchi mbona kitaa zipo nyingi unahangaika na hiyo papuchi ambayo haieleweki....unahangaika weee siku ukipewa mechi unaondoka na kaswende....jiongeze mzee baba hii dunia ya sasa ni ya mwendo kasii!! Sasa we kama unajongea kama kinyonga tutakupoteza!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.