Nina mdogo wangu ambaye kwa kweli ana sifa zote za kubaki pale Muhas lakini sababu ya ujinga huu yupo mtaani tu!
Olevel aliongoza masomo ya sayansi Tanzania nzima! Alevel pia alikuwa among the best student pale Ilboru! alipofika Muhas kajitahidi masomo yake amepata A na B+ ila kwa sbabu...
Kwa utaratibu unatakiwa kuanza kupata pension ya kila mwezi baada tu ya kustaafu ila kutokana na sababu mbalimbali wengine wanachelewa lkn lazima ulipwe zote.
Uzinduzi WA daraja la kigamboni unaendelea sasa hivi live kwenye to mbalimbali! Serikali inastahili pongezi wa hili hali ilikuwa mbaya sana kwa wakazi wa Kigamboni!
What’s the difference between CNG, LNG, LPG and Hydrogen?
Natural Gas Association Links
Glossary
What’s the difference between CNG, LNG, LPG and Hydrogen?
The following is a brief summary highlighting the main differences of these fuels. Much more comprehensive details of the fuel properties...
Gas tunayotumia ni LPG liquefied petroleum gas wakati gas yetu ni natural gas so lazima uwe unasoma kwanza ndio unapost kuna tofauti kubwa sana kati ya natural gas na lpg subiri bado hatujaanza kutumia gas yetu
Nimefatilia hotuba yake tangu mwanzo nimegundua Makonda si yule wa umoja wa vijana! Amekomaa na ni kiongozi mzuri kama atafanya yale anayoyasema basi Dsm imepata mkuu wa mkoa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.