HJHI (Henry Jefferson Health Care Initiatives) ni matapeli wa ajira wanaotumia mgongo wa "psychometric evaluation" kupiga hela za wale walio na uchungu wa kukosa ajira.
Kwenye website yao(sitaweka hapa) wameweka namba feki za ofisi yao hapa Tanzania. Pia, hawana ofisi marekani kama wanavyodai...
Serikali ya ccm imekosa vipaumbele kabisa.
Nitasema kwanini.
Wanajua kabisa kisheria huwezi mshtaki mtu ambaye ni chizi "insane person" (rejea kifungu namba 13 cha sheria ya makosa ya jinai sura ya 16 toleo la 2002)
Kwanini kuufanya umma wa Watanzania wenye hekima kama watu wajinga...
BREAKING NEWS!!!!!
Watu watatu wasiojulikana wamekutwa jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo wakiwa na afya njema kabisa huku wakipambana na hali zao hivyo na wewe pambana na hali yako tu hakuna umbea hapa.
Kutokana na utafiti ambao umefanywa na nchi nyingi duniani, inaonyesha kwamba watu wanaovuta Bangi ni wengi kuliko wale wanaovuta Sigara..!! Pamoja na kwamba bangi inavutwa zaidi kuliko Sigara, lakini inavutwa siri na kwa maana hiyo Serikali haipati kodi yoyote kutoka katika zao hilo ambalo...
Ni ndefu, but tafadhali isome...
Dr Makira:
"Hakuna chama duniani kinacho weza kutawala mfululizo zaidi ya miaka 40. CCM inaondoka madarakani rasmi baada ya Uchaguzi wa tarehe 25 October 2015, Hakutakuwa na Fujo yoyote wala Msuguano wa aina yoyote kama baadhi ya watu wanavyotaka iwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.