Habari wakuu,
Naomba mwenye kuuza bidhaa tajwa hapo juu aniambie anauza bei gani kwa kilo na yapo mahali gani. Lengo ni kufanya tathmini kisha kuanza biashara hii rasmi hivyo nikiwa na mtu mwenye supply ya muda mrefu itakuwa bora sana.
Nasubiri michango yenu wadau wa biashara hii.
Habar za mchana wanajukwaa..
Samahani nilikuwa kwenye mishemishe bahati mbaya nimepigiwa simu mara mbili ila inadisplay UKNOWN CALLER... Nahisi ni kati ya sehemu nilizoomba kazi... Kuna aliyekutana na calls za aina hii?
Shukrani.
Jamani mimepokea kwa masikitiko taarifa za kufariki kwa huyu mtoto....Mungu akutie nguvu Juliana... sote safari yetu ni moja...
Huu ugonjwa unatesa jamani, have been battling with it on and off too...
Rip little Angel.
wakuu,
nimeitwa kwenye interview Exim bank kwa position ya Customer Care officer naomba mtu mwenye uzoefu anisaidie.. interview ni kesho asubuhi saa nne..
asanteni
Wanajamvi,
hivi inakuaje mfanyabiashara wa kawaida eg mtu ana duka lake mfana manzese ana tin,leseni ya biashara pia anatoa risiti kwa wateja na ana reg ya vat. Anawakilisha tra kila mwaka balance sheet,income na expenditure account kwa ukaguzi. Ila sasa sasa mbona kuna majumba kibao ya vigogo...
Whats up gud pipo,
am new hia japo nimekuwa nikisoma posts zenu sana , mawazo yenu yamenikuza na kuipanua akikili yangu.plz naombeni ushirikiano wenu.
Baada ya utambulisho,ninaomba msaada wenu wa mawazo. Nahitaji used laptop ya bei nafuu. Ikiwa imported itakua bomba sana.
Shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.