Naungana nawe moja kwa moja kumlaani Mabumba jinsi alivyoendesha kikao kitoto na kwa ubaguzi wa wazi. Mwenyekiti huyu nidhaifu na hafai. CCM mnazidi kujimaliza 2015 ni hukumu yenu.
Ni nani asiye jua kuwa Shibuda ni kada nambari wani wa ccm? Shibuda kaja cdm kwa malengo yake makuu nayo ni kuivuruga cdm lakini anapaswa elewe kuwa cdm ina watu makini na waelewa zaidi yake hivyo hawezi kitu ameshtukiwa. Njama zenu twazijua kitambo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.