When we make decisions especially that affects the economy of either individuals or investors in our Country, we must deeply involves the reliable economists to avoid reversing back the good moves/plans already taken by our lovely President Samia to push forward the development of our Nation.
Mama Samia Suluhu, Raisi wetu nakupongeza kwa jitihada zote ulizozifanya kuifikisha nchi ilipo baada ya kuipokea nchi ikiwa imeyumba sana kiuchumi. Nina hakika jitihada na busara zako tutafika mahali bora zaidi na kila mmoja mwenye nia njema na Taifa hili atakubaliana na hili. Mungu aendelee...
Kufikiria mfumuko wa bei ya Mahindi na Mpunga kumesababishwa na Mh. Raisi Samia ni ujinga uliopitiliza. Kilimo chetu kinategemea mvua na hazikunyesha vya kutosha mama anahusishwaje? Nampongeza mama kumruhusu mkulima auze mazao yake kwa a set aka na pia kupunguza bei ya mbolea. Watanzania kila...
Comrade Kinana asilaumiwe kila dereva akiwa na akili timamu anapaswa kutambua kuendesha gari bila ya tahadhari (reckless driving) kunauwa, hili halihitaji uangalizi wa Traffic.
Makamba amefanya ubunifu wa hali ya juu. Baada ya kuzungumza na waandishi akiwa Dar au Dodoma kuhusu shida na changamoto za Wananchi ameamua kuwatembelea walipo na kujua ni vitu gani vinawakwaza na kutoa suluhu. Anapaswa kuwa mfano na viongozi wengine waige mfano huu. He is creative and others...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.