Wanajf kuna mtaalam anaweza kunisaidia jinsi gani naweza kubadili upya programu ya application ambayo inansumbua kwa muda mrefu kila nikidownload inakataa kufunguka kwa mfano operamini na games. Nilijaribu kutengeneza kwa fundi ikapona kabisa baada ya kutumia kwa muda wa wiki 3 ikajirudia hali...
Habari wanajamvni? leo naombeni msaada kwa jinsi gani naweza kufungua intaneti kwenye laini ya airtel tena haina GPRS/EDGS, nimejaribu kutuma intaneti kwenda 15444 bila jibu.
Kwa voda tuma 50MB Kwenda 123 watakata 2000/= na utaitumia hiyo bundle kwa mwezi. Zain tuma neno internet kwenda no 15444 watakata 2500/= na utapewa data bundle yenye 400MB itatumika ndani ya mwezi moja, zain ndo dau ndogo yenye bundle zaidi voda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.