RIP Ngoyayi Lowasa.
NB: Katika watu ambao kwa msiba huu atafuatilia sana udaku, video na maneno mitandaoni kuhusu msiba huu kabla ya kuamua namna ya ushiriki wake, basi namba moja ni Mkwere wa pande za Msoga!!!@#$^^*&%%$#=995&^$×@#£^.
Mimi nimeamua kuandikisha mali zangu jointly kwa watoto wangu wa ndani ya ndoa, baada ya mchepuko kunifanyia tofauti na makubaliano akakazaa. My wife nae namjengea yake.
Ila huyo mtoto wake najua hana kosa, naye najipanga kumjengea ingalau kajumba ambako nitakuwa joint owner.
Yawezekana...
Jamani naomba kuuliza, hivi katika bajeti ya Wizara ya Fedha, kuna kodi imeongezwa kwenye pombe/ bia etc? Maana leo kuna bar wamepandisha bei, wengine hapana. Nini hasa katika hili?
Please Serikali hii kitu ndio ondoa stress, iacheni kwa bei affordable, la sivyo tutakufa mapema muishie kutawala...
Hata hapa JF kuna wahamiaji haramu pia. Nadhani mmeona michango yao!
Hoja kuu ni kuwa wapo kinyume cha sheria au la!?
Sasa cha ajabu watu wanaunga mkono uvunjaji wa sheria.
Haikatazi kuwa mhamiaji, inakatazwa uhamiaji haramu.
Mbona wasomali na waithiopia wanakamatwa sana tu na watu wanaona...
Ili baada ya muda mfupi waombe talaka na kujipatia pasu ya mali za mume!
P Didy komaa, wachape tu, hakuna ndoa.
Asante sana Hakimi, hata kama uamuzi wako kama una ndugu ni hasara, lakini at least umezindua akili za men wengi
Kesi ya siku nyingi sama hii, kuna kipindi meli ya znz ilikamatwa huko Sheli sheli kwa ajili hii lakini ikaachiliwa kwa hoja za state immunity kama dege letu lilivyoachiliwa SA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.