Kutokana na hali hiyo, baadhi ya madereva wanagoma kimtindo, mfano tar 25/7/2016, kimara kulikuwa hakuelewki asubuhi.
Baadhi ya wakatisha tiket wanamalizia hasira kwa abiria kwa kutoa huduma kwa maringo
Hopeless kabisa
Upo kwenye gari, watu wanalalamikia huduma mbovu za taasisi za serikali, na wewe unajua kuwa haki ni mbaya. Utateteaje wakati huo kama sio unafiki?
Au hukumwelewa mleta mada?
utaratibu wa kukosoana kiofisi upo, na wakati mwingine huwa haufuatiliwi. Mifano hata wewe unayo.
Kuitetea serikali ya CCM kwa nguvu zako zote kwa sababu ni mtumishi wa UMMA ni sawa kabisa mkuu.
Hata hospitalini dawa zikiwa hazipo/hazitoshi, madaktari na wauguzi waitetee serikali.
Shuleni kukiwa sio rafiki kwa kujifunza na kujifunzia, walimu waitetee serikali.
Maslahi ya watumishi wa UMMA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.