Search results

  1. K

    Waziri Mkuu okoa jahazi, UDART wameshindwa kuendesha mradi wa mwendo kasi

    Kama wewe ni mtumiaji wa usafiri huu usingesema hayo, labda uwe careless.
  2. K

    Waziri Mkuu okoa jahazi, UDART wameshindwa kuendesha mradi wa mwendo kasi

    Kutokana na hali hiyo, baadhi ya madereva wanagoma kimtindo, mfano tar 25/7/2016, kimara kulikuwa hakuelewki asubuhi. Baadhi ya wakatisha tiket wanamalizia hasira kwa abiria kwa kutoa huduma kwa maringo Hopeless kabisa
  3. K

    Usiogope kama mumeo ana kibamia

    Sitaki ku-comment uzi huu, nitachelewa kufanyia majaribio na kusahau. Nitaleta mrejesho
  4. K

    Mrema: Nitapunguza wafungwa

    Alistahili kuteuliwa. Kuwa upinzani huku unampigia kura mgombea wa urais wa chama twawala sio mchezo
  5. K

    Pale maji yanapofika shingoni kauli mbiu ya 'tunahakiki' ndio ngao

    CCM mnashindwaje kuwakata wezi walioko Chadema? Serikali inalalamika na wananchi wanalalamika. Kuwa ng'ombe ni shida
  6. K

    Nahitaji Mume Muislam

    Nahakiki wahitaji hewa wa wanaume hapa jf
  7. K

    Pale maji yanapofika shingoni kauli mbiu ya 'tunahakiki' ndio ngao

    Utakuwa CCM hewa. Serikali ya ccm, uhakiki wa ki ccm, tunaoumia ni watz halafu unaleta uvyama hapa. Lazima utakuwa ng'ombe uliyekatwa mkia
  8. K

    Pale maji yanapofika shingoni kauli mbiu ya 'tunahakiki' ndio ngao

    Kwenye uhakiki kuna wahakiki hewa. Tutasubiri sana. Wanahakiki hadi uhakiki wenyewe mpaka wanasigina makubaliano ya mwajiri na mwajiriwa.
  9. K

    Je tumbuatumbua itamhusu na huyu?

    Akamuulize Prof Ndalichako. Akijibiwa tuletee mrejesho
  10. K

    CCM na watumishi wa umma

    Mleta uzi yuko kwenye "Pepo ya Mbwege"
  11. K

    CCM na watumishi wa umma

    Uzi wa lumumba lazima wautetee "kwa nguvu zote" ili wapate "ushindi." Wakati mwingine huwa napita tu kama mgeni na mji huu.
  12. K

    CCM na watumishi wa umma

    Upo kwenye gari, watu wanalalamikia huduma mbovu za taasisi za serikali, na wewe unajua kuwa haki ni mbaya. Utateteaje wakati huo kama sio unafiki? Au hukumwelewa mleta mada? utaratibu wa kukosoana kiofisi upo, na wakati mwingine huwa haufuatiliwi. Mifano hata wewe unayo.
  13. K

    CCM na watumishi wa umma

    Kuitetea serikali ya CCM kwa nguvu zako zote kwa sababu ni mtumishi wa UMMA ni sawa kabisa mkuu. Hata hospitalini dawa zikiwa hazipo/hazitoshi, madaktari na wauguzi waitetee serikali. Shuleni kukiwa sio rafiki kwa kujifunza na kujifunzia, walimu waitetee serikali. Maslahi ya watumishi wa UMMA...
  14. K

    Pamoja na dalili zote za kunipenda, ila nimemtongoza kanibwaga

    Ngoja kamshahara kwa walimu katoke niende na mbwembwe zangu huko
  15. K

    Faida ya mshahara mzuri kwa waalimu

    Muulize BINARY NO maswali haya.
  16. K

    Pamoja na dalili zote za kunipenda, ila nimemtongoza kanibwaga

    Aisee, anawakarimu wateja hadi geto kwao?
  17. K

    Faida ya mshahara mzuri kwa waalimu

    Wamekuta wapi hiyo nyongeza? Nafahamu mishahara mipya inatoka mwezi huu.
Back
Top Bottom