Hivi ndugu zangu mnaamini kuna uchawi? Mmeingia darasani, mnama degree yakutosha, hivi inawezkana binadamu akasafiri angani kwa kutumia hivyo vyombo vya kichawi, ukifikiria kwa undani utapata jibu kuwa ni uongo, hakuna connection.
Wengi wetu tunasikia tu kuwa kuna uchawi lakini hatujawahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.