Wana CDM mna double standards, hapo ndipo mnapo nikera mimi. Hili Gazeti mwezi mmoja tu uliopita liliandika habari ya uchochezi hatari na ya kizushi juu ya KUWEPO KAMBI YA AL QAIDA Ukerewe! Mbunge wenu na nyinyi mlishadidia issu hii licha ya unyeti wake na kutokuwepo ushahidi wowote, hamkujali...
Hamna issue hapa! Ni hasira tu za wakristo rais kutokuwa wa jamii yao! Ikifika 2015 bila shaka rais atakuwa mkristo wataenda kwenye vijiwe vyao vya kitimoto na mbege, hutosikia upuuzi huu'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.