Habari za jumapili ndugu,natumaini mu wazima
Simu tajwa hapo juu,inaleta tatzo la kutokucharge tangu nilipoiupgrade to version 5.kwan nikichomeka kwenye charge inazima ghafla na kuonesha white screen.
Nimejaribu kuidowngrade na kuirudishia ver 4(os yake kabla ua kuupgrade ) lakini tatzo bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.