Elections that are not free and fair are those that the losing party's agents do not sign election results at the polling/counting centres for serious irregularities. But when all CHADEMA's agents at polling/counting centres signed elections results, these elections can not be unfair and...
Na magazeti mengine yameandika CHADEMA WAPASUKA, Zitto alishwa "sumu", ZITTO KITANZINI, ZITTO AVULIWA CHEO CHADEMA, So. it is not CCM pekee yenye migogoro!
Kutopendwa na mtu mmoja au wachache ni jambo la kawaida. Hata wewe una maadui! Kama kuna mwana CCM ana kinyongo na Mahanga kwa sababu binafsi, inawezekana. Lakini hii haina maana kwamba wote wako hivyo. Asingepata kura zote hizo. Mahanga bado anapendwa sana. Huyu ndiye Dereck Bryson wa Dar...
Ina maana na wewe CCM itakununua? Acha kuogopa kivuli chako. Serikali ya CCM ni moja kati ya Serikali zinazoongoza Afrika kwa kukuza demokrasia na utawala bora. Hilo la rushwa liko kila mahali, lakini angalau Tanzania ina rekodi ambayo ni afadhali kati ya nchi za Afrika Mashariki na nchi...
Kubenea piga, ua, garagaza ni CUF wa kutupwa! Ni kweli haipendi kabisa CCM, lakini sasa anaichukia sana CHADEMA na yuko bent kuivuruga hasa. Kisa? Namna CHADEMA walivyo threat chama chake CUF pale Bungeni majuzi kuhusu kambi ya upinzani Bungeni, na malumbano yanayoendelea baina ya vyama hivyo...
No, Mzee Mwanakijiji! It is the other way round! It was low voter turnout that helped CHADEMA got the votes they garnered! Wanaoipenda CCM ndiyo wengi hawakwenda kupiga kura. It is CCM members who are normally complacent and don't turn out in big numbers to vote, especially women and the...
Oh, pole sana! I am politically sorry for you! Hiyo ndiyo siasa! Usije ukaweka mayai yako yote kwenye kikapu cha siasa! Ukiwa mwanasiasa hata wewe mwenyewe usijiamini kwa asilimia mia. Hata Shibuda aliwahi kuapa kwamba kamwe hatoki CCM, atapambana humo humo CCM hadi kiama! Yuko wapi sasa?
Na bado! In 2 to 3 years time from now, you will have striken off few dozens of your hitherto political inspirers! Not only Zitto, start also watching Hamad Rashid, Sitta, Mwakyembe, Mengi, Mabere Marando, Anne Kilango, Mbatia and even Mbowe and Slaa! We can not let this country go to the dogs!
Nakubaliana na The Good kwa asilimia mia moja. Labda niongezee kwamba kusiwe na dhana kwamba JF ni forum ya CHADEMA tu, hivyo mtu akija na hoja tofauti (isiyopendwa na CHADEMA) inakuwa " ....NA HUYU KATOKEA WAPI?..."
Looo! Huyu mzee SS sasa kachanganyikiwa! Inaonekana kuondolewa uspika kumemchanganya kweli kweli! Na anaamini kwamba hilo genge la watu watatu - RA, EL na AC ndo wamemwondolea uspika alikokuwa akifanya ufisadi mtakatifu, kuivuruga na kuiua CCM kimyakimya! Amesahau sasa yeye ni waziri. Haya si...
I have known him for the last 40 years. While I may not know some of his trivial personal issues, and I would not advocate for him in these, I know ALL his main political and social issues and ambitions, just as he knows mine (though myself I am not a politician as such). But I am...
Siyo kosa kwa Mkapa kutoa mawazo yake anavyoona sasa na ambavyo labda hakuona alipokuwa madarakani. Ndiyo maana kuna wachezaji kama Julio walikuwa wanafanya makosa ya ajabu uwanjani walipokuwa wanacheza mpira lakini sasa hivi wanafundisha hata yale ambayo wao hawakuweza kuyafanya uwanjani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.