Sio kwamba nashabikia but yakuoasa uelewe kuwa biashara ya ukahaba bdio biashara kongwe na biashara ambayo haijawahi kutetereka kwa 75% 3 years consecutively!!
Dar kuna sehemu hata buku jero unakula wali nazi samaki nazi kisamvu nazi maharage nazi pembeni bisha nikupeleke ferry pale kwa mama Abdul Tagata, lkn pia kuna mahali lunch plate moja 48k-112k....Dar sio mahali pa kunaiga maisha la sivyo dole litakuhusu... na ukiwa mjanja unatusua kirahisi tu...
Kimsingi ujio wa N card ulikuwa utatue rundo la kadi nyingin ambazo kila taaisis ya serikali ingefanya, na ndio jambo ambalo linatakiwa kuendelezwa. N card nilisikia wakati fulani inaweza tumika kuingilia kwenye baadhi ya viwanja vya michezo , thats was good approach na naunga jmkono juhudi hizo!
Issue zinazofanywa kule kitengo cha TSA cha Kina Mponzi sio za miaka hiyo aliyotaja amedanganywa, TSA ni kweli ni kama ilianzishwa wakati wa Magu akiwa na lengo jema la kuconsolidate funds mbalimbali ili kuweza kuzi manage vzr, which was good, lkn baada ya kufariki ndio wajanja wakaja na mbinu...
Kuna Authoritative Voice,
ukiisikia tu unajua hii ni sauti ya kimamlaka<
Walikuwa nayo Watatu tu, RIP our late former President; JK Nyerere, Mkapa, na JPM
Na kama hujabadilika aisee una kazi kubwa sana, dunia hii si ya kujitenga kiasi hicho, am sure hata kama umefanikiwa lakn ungefanikiwa zaidi ikiwa ungekuwa na backup na hazina ya watu ambao mlisaidiana huko shule!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.