Hawa waajiri hasa waajiri wa kigeni (foreigners) hawapendi kabisa ishu ya mikataba, wanapenda kuajiri kisela sela sana, yaani mnaelewana kwa mdomo tu kwamba mtalipana kiasi fulani cha pesa kwa muda fulani basi.
Sasa changamoto inakuja kwenye malipo ni kasheshe, wananyanyasa sana wafanya kazi...
My main aim is, uwepo uhuru wa mtu kutengeneza website, utafute watu wazawa ama watu wa nje ya tz, wacheze X then upost kwenye website yako watu waangalie then upige hela! i think ni wazo zuri maana utalipa kodi kama kawaida na uchumi utaongezeka, na pia vigezo na mashart kuzingatiwa, mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.