Wanachama wa CHADEMA katu hatutovunjika moto na kurudi nyuma ili kupigania haki yetu .
Kitendo cha kunyiwa uhuru na kufanywa mkombaniaji uraisi wetu Tundu Lissu jana kuzuiwa na jeshi la polisi kwenye msafara wake halikutufurahisha.
Mh Tundu Lissu ni raia huru ndani ya nchi yake kama raia...
Viongozi wa CCM Tanganyika walipomchagua Hassan Mwinyi ili aje kuwa Rais wa Zanzibar, miongoni mwa sifa waliziompa ni mtu mpole na mkimya. Lakini hebu tujiulize sisi Wazanzibari huu upole wake utatusaidia nini!? Na huu ukimya wake wa kusema mengine na akayatenda mengine, tutanufaika nini?
Yeye...
Naona kuna wanakifanya kisomi sana, wanatupia nukuu za mh Magufuli za Kampeni ambazo zina ukakasi. Mfano mkichagua mpinzani mtajuta sileti maendeleo hapa. Nimefuatilia watu wanao komenti wapo very aggressive kwa Magufuli na 90% ya comments ni total Negative.
Hii ina maana gani, kiuandishi ITV...
Ccm wasijidanganye kuwa wazanzibar watakua kimya na mambo kwenda salama (muruwa) kwa kuwawaa nchi yao ili ifanywe wilaya 2 ya Unguja/Pemba na mkuu wa mkoa 1.
Hii plan ni ya kipindi kirefu tunajua na Huyu Mwinyi ni matayarisho ya kukukamilisha agenda hio kwa maguvu ya Magufuli.
Sisi...
Ni wape siri moja kati ya Magufuli na Makonda dhambi inayowatafuna watu wawili hawa?
Kifupi nikua alietegemewa kufaa Bwana Mungu wetu hakutaka afe na wingi wa risasi kama cheche za welding lakini Mungu hakutaka afe.
Na tu kumbuka yakua kilichomuokoa Tundu Lissu sio huduma za madaktari wazuri...
Mgombea wa Urais wa JMT kwa tiketi cha CHADEMA, Tundu Lissu aahidi neema kwa watu Watumishi wa Umma ikiwemo Madaktari, Malimu na Vyombo vya Dola kwa kulipwa mara mbili ya mshahara wa sasa.
Katika mazungumzo yake na viongozi wake wa ngazi za juu ameeleza kipaumbele chake kikubwa ni kuongeza...
Chanzo cha picha, AFP: Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda
Kuporomoka hadhi ya utumishi wa umma, kazi za kitaaluma kutothaminiwa, maslahi hafifu, hofu ya kutumbuliwa, usalama mdogo wa kazi, mazingira magumu ya siasa na kuwa njia rahisi ya kupata mafanikio, kutoa michango...
Nimeshangazwa sana na kauli ya Serikali kupitia mdomo wa Waziri wa Fedha wa Zanzibar katika bajeti aliyoisoma leo katika ukumbi wa baraza la wawakilishi.
Waziri Ramia anasema Zanzibar imeshindwa kutekeleza miradi yake mitatu mikubwa ambayo ni:
1. Uwanja wa ndege wa Zanzibar.
2. Bandari ya...
Office of Chairman,
P. O. Box 10979,
Dar es salaam, Tanzania
E-mail:lipumba@yahoo.com
Homepage:www.cuf.or.tz
Date: 01/05/2019.
YAH: MALALAMIKO YA KUZUKA MGOGORO MPYA BAADA YA KUMALIZIKA MGOGORO ULIOKUEPO.
Salaam Ghalaykum,
Bwana Yesu asifiwe.
Sisi Wanachama wazalendo na watiifu...
Nimefadhaishwa kidogo na baadhi ya michango ya humu ndani kuhusu masuala mbali mbali yanayohusu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Inaelekea tuna tatizo kubwa sana la uelewa wa historia yetu ya kisiasa na kikatiba. Kinachofundishwa kwa watoto wetu mashuleni kama 'historia' au 'civics' ni...
Leo nilikuwa nafatilia moja ya kituo cha television huko marekani tajiri nambari moja duniani Bilionea Bill Gates aliulizwa na mwandishi mmoja wa habari kuwa anajisikiaje kuwa tajiri mkubwa zaidi duniani. Akajibu kuwa hadhani kama yeye ni tajiri namba moja. Akaulizwa anadhani kuna mtu anamzidi...
Anaandika Malisa GJ
Ripoti ya CAG ya mwaka 2015 (wakati wa JK) inaonesha deni la matibabu nje ya nchi kwa watumishi na viongozi wa serikali kwa kipindi cha June 30 hadi December 31 mwaka 2015 liliongezeka kwa Sh.Bilioni 2.25 kutoka Sh. bilioni 16.94 hadi kufikia Sh. bilioni 19.19. Kwa Lugha...
Zaidi ya Watu 5000 wameshasaini, unasubiri nini? Saini Wito Kwa Bunge La Tanzania Kuondoa Azimio Lake La Kutofanya Kazi Na Mdhibiti Na Mkaguzi Mkuu Wa Hesabu Za Serikali Ili Kuendeleza Utawala Wa Sheria, Uwajibikaji, Kupiga Vita Ufisadi Na Kulinda Katiba...
Makamu wa kwanza wa Rais (Mstaafu) wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema hawajarudisha kadi ya chama chake cha zamani cha CUF, lakini wameweka utaratibu maalumu wa kuirudisha yeye na wenzake.
Maalim Seif ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Aprili mosi, 2019 wakati wa mahojiano katika...
Na Bollen Ngetti
HATIMAYE Rais Magufuli ameusaini Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 2019 na kuanzia sasa ni Sheria rasmi nchini Tanzania. Nimetokwa na machozi baada ya kuona giza nene tuendako ambako hakuko mbali sana!
Wito wangu kwa kila asomaye posti hii na...
Baada ya Maalim Seif kuhama kabla ya kusainiwa, Sheria kandamizi ya Vyama vya Siasa inaweza ikatupwa
Thread starterErythrocyte Start dateMonday at 3:06 PM
1…7 Next
ErythrocyteJF-Expert Member
Monday at 3:06 PM
#1
Moja ya sababu zilizowafanya wenye mamlaka kupeleka huu muswada wa kinyama...
Kinachoendelea hivi sasa katika siasa za Tanzania kwa ujumla hasa kwa upande wa Zanzibar na hususan katika Chama Cha Wananchi - CUF kimenifanya nikumbuke tarekhe za visa vya Mitume na kwa muktadha wa makala hii fupi nitaangalia kazi kubwa ya kiutume iliyofanywa na Nabii Nuh (AS), upinzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.