Kumekuwa na tatizo la wanando kutokuwa waaminifu katika ndoa zao, kimsingi jambo hili sijalifanyia utafiti ila naamini huju JF wapo wengi ambao watakuwa wanamaelezo ya kutosha kueleza sababu ya kadhia hii, naomba tusaidiane, kwa nini uaminifu katika mahusiano ya mke na mume ni issue?, utakuwa...
Good, then dont put yourself into contradictions, haya mazingira inawezekana uliyaandaa mwenyewe (huenda bila kujua), na for that case hukuandaa mazingira ya kupambana nayo!, ila what is required is precautions, kila mmoja anatakiwa ajue mipaka ya mwenzake na aiheshimu. cha msingi ni kumwambia...
Ama kweli haya ni maajabu, na hili mpaka uuambie ulimwengu ukusaidie, kazi ipo. inaonekana houseboy alikuona uko fragile ndio akaona ana nafasi ya kukutongoza, unatakiwa uonyeshe msimamo wako mapema kwa hawa watu, ukiwachekea ndo inakuwa hayo. mwambie ashike adabu yake, kama anakutaka amwandikie...
Nimekutana na kipande cha utenzi kimenishinda kutafsiri kwa kiswahili rahisi, msaada please
Uwene wangapi watu wakwasi
walo wakiwaa kama shamasi
wamuluku dhana za adharusi
dhahabu na fedha wakhizinie
Nyumba zao mbake zikinawiri
kwa taa za koa na za sufuri
makiku yakele kama nahari
haiba...
Ndugu wana JF wakati mwaka 2010 unaelekea mwishoni sisi tukiwa ni great thinkers tuna yapi ya kujivunia kwan chi yetu (Tanzania) mwaka huu unaokwisha. Yapi yanaweza kutufanya tuuone mwaka huu kuwa ni wa kukumbukwa?
Naomba kuwasilisha!
Watanzania tuna mengi ya kujadili na kutafuta ufumbuzi wake, kutumia bytes nyingi kujadili mapicha haya ni kuwa nyuma ya wakati. hatuwezi kufika katika mtindo huu.
Hoja ni nzito, waliotajwa kama wauwaji ni walikuwa au wapo katika madaraka, na wenyewe wanasema "Jusice is the interest of teh people in power" kwa maana hiyo kilichofanyika Pemba ni Justice hivyo hakuna wa kushatakiwa kwa kuwa kwenye kutenda haki hashtakiwi!, Watanzania bado hawajaandaliwa kwa...
when you go beyond normal thinking it Seems that there is a democratic-dictatorship tendencies, A free man is free to think on his/her own ways, making a free man thinks on the way you need is KILLING thinking on the free man. Let one give out what he thinks so that the rational analysis can...
If you need to have a clear thinking you must be rational, to be rational u need to have a FULL information about as issue you need to think about. On my side I think more information should be given to make the topic more and more known.
When you go beyond normal thinking this kind of conclution (Ccm is no longer a political party but a mode of production), which are not sipported any premises cannot be cosidered any more. To arrive at that conclution one has make a convincing premises and not concluding on air!, since this is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.