Mtangazaji Maarufu Star wa Cloudsfm Radio Diva amefunguka Dai la Baadhi ya Team Diamond Kusema Kuwa Alikiba ana Mke (ambae inasemekana wametalakiana) na aache shobo za Kumpost , amekaa na kufunguka ya kuwa ' Alikiba Anampenda sana na ataendelea Kumpost tu' hakuishia hapo pia kupitia XXL week...
akifunguka mahaba yake kwa mtangazaji wa Cloudsfm alikiba amekiri kumpenda sana Diva na kuongezea amekuwa akimsapoti kwa muda mrefu sana ni mtu wake wa nguvu, tizama video hio apa.
Ikumbukwe miaka 7 au 6 iliopita wawili hao waliwahi ku share kiss (denda) live on stage ndani ya Billcanas na Diva...
Hii dogo kaua humu.
====
Tanzanian singer; Killy has now dropped Amenikaa; his first banger of the year featuring Nyanda of Brick and Lace and Singah from Nigeria.
On this groovy love song, the artists give all praise and affirmations to their partners, not to mention the catchy hook...
Akiongea kwa kicheko baada ya mashabiki wa mtandao wa twitter kumuuliza Diva kama mwanaume wake kwanini hamind vile anavyokuwa anamsifia alikiba.
Mtangazaji huyo wa kike toka cloudsfm anga za usiku wa ala za roho nne na nusu mpaka saa saba alijibu hana boyfriend ila akipata boyfriend ataacha...
aliongea mengi, alimalizia kwa kusema tena kwa dharau, Diamond sio mmiliki kama anavyodanganya watu na angetaka kazi angempigia mmiliki sababu anamjua , Diva alaiongezea diamond ni muongo sana huwa anatengeneza vitu kuua kitu kinacho trend na sababu ya yeye kusema uongo ule ni kupoteza kiki ya...
tukiendelea kuletea mtiririko wa matukio ya Diva na show yake Mpya Youtube Divathebawsetv ameulizwa na mashabiki zake kwamba je ameona show ya Mfalme Alikiba Zanzibar.
Diva amejibu ameona mtandaoni kupitia instagram na kwakweli amemkuna sana maana ni kipenzi cha watu na huwa hatumii nguvu kama...
Akijibu juu ya kupendwa sana na kusababisha taflan mitandaoni, a 31 years old Diva Gissele Malinzi au Al maarufu Kama Diva' Mtangazaji wa #Alazaroho ya Cloudsfm , anasema yeye huwa hajali wala kuumizwa na maneno ya watu sababu hao watu ni only 20% so wanajichosha yeye ni sikio la kufa...
Mimi sio Tasa Nikitaka Kuzaa Nitaenda Marekani Kupandikiza Mtoto Kwa Njia ya IVF - na ikitokea kawaida pia ntafurahia Godsplan vyeti vyangu vya uzazi viko salama katika uzazi na Mayai tatizo ni Mirija hivyo huniwia vigumu kupata Mtoto kawaida.
Ameongea Diva Kupitia #KeepingUpWithDiva Youtube...
Mimi sio Tasa Nikitaka Kuzaa Nitaenda Marekani Kupandikiza Mtoto Kwa Njia ya IVF - na ikitokea kawaida pia ntafurahia Godsplan vyeti vyangu vya uzazi viko salama katika uzazi na Mayai tatizo ni Mirija hivyo huniwia vigumu kupata Mtoto kawaida , ameongea Diva Kupitia #KeepingUpWithDiva Youtube...
Jana Usiku Kupitia Diva na ala za roho ya Cloudsfm Aika na Nahreel ( navykenzo ) walisema wanatarajia kufanya Collabo na Patoranking.
Wakizungumzia Patoranking wanasema walikutana nae mwaka Juzi fiesta wakapanga kufanya track moja ambayo bado hawajaipa jina ila itakuwa kwenye album yao...
Akiwa anafanyiwa interview na Blog Moja nchini Nigeria kama Mtangazaji wa Tanzania anaeanza kutambulika nchini humo aliulizwa kama Negative energy zimewahi Muathiri.
Diva alijibu,
"Negativity? Matter fact i use the negativity to fuel the transformation into a better me, i just, i jus love...
Siku za hivi karibuni mtangazaji huyo maarufu amekuwa akihoji wasanii wengi wa nje ya Tanzania wakiwemo Iyanya, Patoranking, Maurice Kirya na sasa amezungumza na hitmaker wa Duro, Tekno Miles wa Nigeria.
Kwenye mahojiano hayo Diva amemuuliza staa huyo kuhusu issue za muziki na ofcource kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.