Habari members.
Kuna jamaa yangu alinyweshwa maji ya betri na majambazi. Mungu alimsaidia hakuimeza lakini imeathiri kinywa chake. Amekua akipata shida kutafuna na kwa upande wa kuongea ulimi wake umekua mzito.
Je, kuna tunaweza kumsaidiaje ili ulimi wake urudi katika hali ya kawaida...
Leo nataka nikujuze ni jinsi gani unaweza kupata pesa na kutimiza malengo yako na kampuni . Fursa hii sio ya kutajirika-fasta kama biashara nyingi zilivyoenea mitandaoni kwamba unaweza kuingiza milioni kwa siku. Kama hio ndio fursa unayoitafuta basi biashara hii haikufai. Fursa hii ni kwa wale...
...when people tell you that #Oriflame doesn't work, tell them that:-
- Yes, you are right, the company does not work, "ITS YOU WHO MUST WORK".
- And secondary, ask them, "why does it work for the likes of boKHOLO". Also ask yourself that, "WHAT IS IT THAT THEY ARE DOING THAT OTHERS ARE NOT...
UKIONA DALILI ZIPI UJUE SETI HII INAKUFAA:
1.Ngozi kua na alama au ramani za kuungua na jua
2.makovu au madoa yaliyoachwa na chunusi
3.Ngozi kufubaa
4.na mistari kama vile unaanza kuzeeka...
5.rangi za ngozi yako haziko sawasawa
Hii ni kwa ajili ya umri wa miaka 25+ na kuendelea kwa watu wenye...
Mimi natumia queen elisabeth. Nina miaka 3 sasa naitumia. Imenifanya niwe na rangi moja mwili mzima. Inshort ukipata the original one's yanasaidia. Ukiona magumu unaweza ukayapaka na glycerine or rosewater.
Karibuni wadau.
Mjasiriamali ni nani?
Mjasiriamali ni mtu mbunifu, ambaye ununifu wake anaunadi na kutumia ili apate faida.
Mjasiriamali ni kitendo cha kuchukua hatua na kuanzisha kitu kipya au kufanya jambo ambalo linafanywa na wengine lakini katika njia ya tofauti.
Ikumbukwe kuwa: Kila...
Atumie feminnelle. Haya ni majimaji ambayo PH yake iko balanced kabisa yani acidity na alkanilinity zimebalance na hii hulinda mazingira na hivo wale bacteria wakutulinda huishi na kuendeea kufanya kazi yao ya ulinzi.kukufanya uwe nadhifu na mpya kila siku
Sifa zake ni:
•haina sabuni
•inaharufu...
Tumia product ya North for Men. Hii ni Kwa wanaume sensitive ktk ngozi nakupata mapele wakt wa kunyoa
Wape 1. shaving foam
inasaidia wkt wa kunyoa mana ni kama povu na inazuia ukavu na mkazo wa ngozi
2. Soothing face cream
inatuliza nakukufanya uwe comfortable.
Na hii soothing cream inapakwa...
Tumia Pure skin utusahau kama uliwah kuwa na chunusi
Husaidia sana watu wenye ngozi ya mafuta yaan hupunguza mafuta na kuondoa chunusi kwa mwenye nazo.
Kwa maelezo zaidi 0658409474
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.