Alisimamishwa kazi kwa maandishi au mdomo ?
Kesi iko polisi, je imeshafikishwa mahakamani ?
Kama kesi iko mahakamani ofisi yake haiwezi kufanya maamuzi yoyote mpaka pale mahakama itakapotoa hukumu.
Asante Mkuu, nilibadili oil seal ila nimegundua bado oil inapungua na kipindi hiki sio tena oil ya engine ni oil ya gear box. Msaada tafadhali nini inaweza kuwa sababu ya oil ya gear box kuvuja ?
Habari wakuu,
Nina gari aina ya IST, nilifanya service mwezi mmoja uliopita yaani nilibadili oil. Lakini baada ya muda mfupi oil ilipungua sana. Baada ya ukaguzi nimwngundua gari inavujisha oil. Msaada tafadhali ni kwa namna gani naweza kutatua tatizo hilo ?
Katika fomu ya kikao cha nidhamu kuna kipengele cha maamuzi na mapendekezo ya kamati ni lazima kijazwe na kukamilisha fomu hiyo. Napata ukakasi unaposema kamati haijatoa mapendekezo na maamuzi ya kikao hicho.
Habari, Madhumuni ya kikao cha nidhamu ni kusikiliza mashtaka aliyoshitakiwa mfanyakazi na mwajiri wake. Baada ya kikao hicho kusikiliza shauri hilo, hutoa mapendekezo yake kwa kuzingatia mambo mbalimbali mama uthibitisho/Vithibitisho, maelezo ya mshitakiwa, historia ya kinidhamu ya mshitakiwa...
Wengi waliosoma kozi hiyo nawaona wanafanya kozi za muda mfupi za osha na kuwa health and safety consultant /health and safety officers kumbuka ili uweze kujiajiri unatakiwa uwe na uzoefu au uwezo kwenye nyanja fulani.unaweza kuanza kwa kuajiriwa huku ukijifunza mambo mbalimbali na baadae...
Zoom huwa wanatafuta matangazo ya ajira sehemu mbalimbali na kuweka kwenye site yao. Lakini kuna mchezo mmoja unafanywa kuna baadhi ya website zinaweka matangazo ya uongo ili kupata watembeleaji wengi.
If I were you, I would throw my proposal to her. If she like/have interest with you she would definitely give in. Why should you consider her status ? That's not your concern at least for now.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.