Habari, wakuu.
Nimepata chanjo ya corona tarehe 15 mwezi huu pale hospitali ya bukoba government hospital. Sasa nimpewa cheti cha kawaida ambacho sio cha kidigitali.. nimeambiwa mtandao unasumbua hvo nsubirie kidogo ntatumiwa sms ya uthibitisho kuwa nimechanja pamoja na link ya kudownload hicho...
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kujua ni sehemu gani naweza kupata review classes za CPA pamoja na kituo cha mitihani maeneo ya bukoba.
Thanks in advance.
Hi,there do you need a co working space for your company/office at cheapest price?
We have got you covered at regus
Our locations:
Accacia estates office plot no.84,Kinondoni Road
Kinondoni,Dar Es salaam.
Prices: 5usd per person per day on 24 month agreements subject to availability
Perks
24...
UPADATES 2020
as I am writing know I have been honoured by google developers program from google, to run google developer group(gdg) in a new chapter;called google developer group (GDG) Kagera.much thanks to Aniedi Udo Obong(Program Manager -Google Sub saharan Africa), Ada Nduka Oyom(Developer...
habari wanaJF, nina Tekno S1 yangu kutoka Tigo nilipeleka kwa fundi aiflash ili itumie mitandao yote. baada ya kuflash matokeo yake ni kwamba imegoma kusoma laini zote. Na kila nikijaribu kucheki IMEI yake *#06# inaleta blank IMEI.
Naomba msaada please namna ya kusolve tatizo hilo.
Alitumia sp...
habari wanajf
naulizia hospitali inayoweza kudhamini mafunzo ya clinical medicine kwa masharti ya kufanya kazi kwenye taasis husika endapo ukimaliza masomo
nilishawahi kusikia eti ndanda hospital wanafanya hivyo.
je ni kweli?
mwenye taarifa karibu mchangie
thanks in advance
habari wana jf naomba kupata elimu juu ya namna ya kufanya vat ruturn online endapo kampuni inafanya mauzo, na endapo kampuni haifany i mauzo yeyote yaani haizalishi.
elimu hii itawafaa na wengine ambao walikuwa na shida kama yangu,
thanks in advance
Conditions for admission to military posts subject to replacement by soldiers, sailors, sergeants and sergeants in the Armed Forces of the Russian Federation (option for foreign nationals)
Paragraph 1 of Article 34 of the Federal Law of March 28, 1998 No. 53-FZ "On Military Duty and Military...
Habari wana JF. Kuna mabango yametapakaa yakitangaza nafasi za kazi Game Supermarket Mlimani City wameweka contact zao hizi hapa 071080516 ambaye anajifanya Meneja mwajiri na mwingine huyu hapa ni 0657785895 ambaye ni Supervisor
Ukimpigia Meneja Mwajiri anakwambia nafasi zimeisha ila...
habari wana jf nauza software ya kugenerate theme yeyote ile kama vile theme ya drupal,wordpress,joomla,blogger,html5,magento,pretashop,virtuemart,bootstrap,woocommerce,na opencart
inagenerate theme ambazo ni premium hivyo itakupunguzia gharama ya kununua premium theme
itakupunguzia muda wa...
Habari wanajf
Baraza la mitihani Tanzania lilitoa tangazo la kutoa vyeti mbadala kwa waliovipoteza.
Kwenye tangazo lao wanasema vyeti hutolewa siku 30 baada ya uchunguzi
Kufanyika ila cha kushangaza ni kwamba ukishakamilisha taratibu zote unaambiwa vyeti vinatoka baada ya siku 90 .
Siku...
habari wakuu,naulizia ratiba ya mafunzo ya mgambo yaani huwa yanatolewa lini? na huwa yanachukua muda gani,,coz nimeona kuna kitengo fulani nyet wanahitaji watu waliopitia mgambo,polisi,jkt,jwtz
kwa sababu mgambo haina masharti mengi nimeamua kufuatila utaratibu wa kuingia jeshi la mgambo...
Kama ulishawahi kutaka kujifunza programming but hela ikawa ni kikwazo dont give up.
Bado kuna njia nyingi za kuweza kutimiza ndoto zako.
Fight upate laptop, modem and full internet conections, you are done.
If you aready know what you want, use youtube videos to learn amazing tricks
If you...
Habari JF experts,
Kwa wenye interest ya kucreate e commerce website na kuuza dunia nzuri
it is almost possible
The only problems was the payment gateways
but now you can accept credit cards and mobile money directly to your website
thanks to directpay,pesapal,skrill, western union,moneygram
so...
wakuu heshima zenu
muda mwingi sana watanzania wamekuwa wakiihitaji kuingia katika soko la kimtandao dunia nzima but tatizo limekua ni kwamba option iliyopo ya online money transfer ni crdit card na yenyewe sio benki zote
western union clients wengi hawapend kutumia
wkishaona unatumia western...
Wakuu habari zenu,
Natafuta jinsi ambavyo NECTA wanapanga mashule na hatimaye kupata shule iliyofanya vizuri kuliko zote. Pia nataka kujua namna ya kucalculate average school GPA.
Kama kuna formula maalumu naombeni mnipe maujuzi.
Thanks in advance
vladimir fuschs
habari ya sasa hivi wadau
nainstall ssl(secured socket layer) kwenye website
faida ya ssl ni kwamba inazilinda data nyeti za watumiaji wa tovuti yako dhidi ya wadukuzi wa mtandao
data zinazoweza kudukuliwa ni email,username,passworg,crdit card iformation na nyingine nyingi
watembeleaji wa tovuti...
helow jf experts
do you need any programs
umetafuta software yoyote ukakosa?lakini unaiona kwa rafiki yako anaitumia?
nina uwezo wa kuextract any software from installed software on pc
the resulting file will be .exe file
call me if you need my service
0654262419
habari developers am trying to connect the access database in visual studio am getting this error
microsoft.ace.oledb.12.0 is not registered on the local machine
any help on how to troubleshoot it
i ve arleady installed access database engine but nothing works
any help please?
thanks in advance
najua kuna watu wana ndoto za kuingia jeshini, kuvaa magwanda,na kupanda vyeo vya kijeshi
ila kutokana sababu ndogo ndogo unakuta jeshi la bongo ni ngumu kuingia na kutimiza ndoto zako
fursa yenyewe nii hii hapa
french foreign legion........hili ni jeshi la nchini ufaransa linalochukua raia wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.