Kuna ndugu/rafiki yangu wa karibu sana anasumbuliwa na Tatizo la kuwa na Hofu/woga na wasiwasi na nafsi yake kukosa raha na hata akili yake kukosa kuturia,muda mwingi anakuwa na huzuni wakati hakuna kitu chochote kibaya mbele yake au kinaweza kutokea:
Naomba tumsaidie kwa Tiba kwani hali hii...
Kuna jamaa amefanikiwa kuoa na kupata mtoto mmoja,ila katka ndoa yao changamoto ni dini(islam + kristo) ikafikia hatua mwanamke akapoteza upendo kwa mwanaume na mwanaume akatoka nje ya ndoa akafanikiwa kumchimbia binti(islamic) mwingine asa yule wa mwanzo(kristo) anataka arudiane kwakuwa...
Kumekuwepo na mdororo wa bei za mazao kwa wakulima je kuna tatizo gani na Je Bodi za mazao zina msaada gani kwa wakulima kwa upande wa masoko?
Kumekuwapo na malalamiko ya sehemu kubwa wakulima wengi kukokosa masoko mazuri ya uuzwaji wa mazao yao kama mahindi, mbaazi, kahawa n.k
Wadau nashuka...
Habar wanasuaso, Serikali ya wanafunzi kutoka chuo kikuu cha SOKOINE CHA KILIMO inapenda kuwakaribisha wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza.
Pia Serikali ya wanafunzi kwa kushirikiana na utawala tayari imeweka utaratibu wa utoaji wa huduma ya malazi kwa Wanafunzi wote watakaofika chuoni kabla...
Peter Msigwa live now mada 'wajibu wa mpiga kura baada ya uchaguzi'.
Leo katika kipindi cha mada moto kimeisha kabla ya wakati wake kwani kilitakiwa kiishe saa 5 kamili usiku badala yake kikaisha 4:56 usiku.
Na hii imetokana na maneno aliyokuwa anaongea mheshimiwa Msigwa juu ya maadili ya...
Muheshimiwa Mimi naona huna sababu ya kuendelea kujibu kuhusiana mambo ya vyeti tunachoitaji ni utendaji wako hakika utashinda watajadili alafu watakaa kimya pambana.HAPA KAZI TU.
Je gharama ya Tin number na leseni ya biashara ya m-pesa na Tigo pesa ikoje?
Ukipeleka TIN number na lesen je unapata hizo line za mpesa na Tigo pesa kwa muda gan?
Enyi wadaiwa sugu wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu sie wadogo zenu tunalia tunaomba mrudishe hiyo mikopo ili nasi tuweze kukopeshwa. Tunafahamu nyie mko kwenye viyoyozi mmejiajiri na wengine ni wajasiriamali.
1.Nilitaka kufaahamu je kwa mtu ambae ni mtumishi wa serikali Ambae ulikuwa unasoma chuo na afu alikuwa mnufaika wa mkopo wa ELIMU YA JUU sasa akatokea AMEDISCONUE kuendelea na chuo je anaweza akakatwa kwenye mshara wake ikiwa ŕank ya mshahara wake ni wa diploma na Ikiwa mwajiri (MKURUGENZI)...
Simu yangu ina tatizo la kusoma line nikiweka line katika simu inasoma, ila minara haisomi inaandika EMERGENCY CALL - Airtel na baada ya muda inasoma alafu tatizo linarudi sijajua ni kwanini.
Msaada kwa anaefahamu.
Mwenye NAYO au kufahamu driver ya laptop dell ya kusaport line ili iweze kusoma na kuconnect ktk INTERNET katka computer aina ya dell D630 naomba msaada plz NATUMIA WINDOW 7.NAOMBA ANITUMIE HAPA AU INBOX PLZ.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.