Kwa mtu wa kawaid hatoweza ona Tatizo ila ni tatizo kubwa sana kwa watu,Tunaitji kushare matatizo ili tupate utatuzi ambao mwosho wa siku watu watafurahia uwepo wa hapa dunian kwa muda huu mfupi.Watu wanapitia magumu sana ila tunapaswa kuwasaidia hata kwa ushauri.
umetoa picha halisi kulingana na hali aliyo nayo,anashindwa kuchangamana na watu ambao wanafuraha muda mwing yuko pekepeke,Asante kwa ushauri tumeupokea lakin kama una suluhisho kabisa Tiba itakuwa vyema maana huwa inapelekea mtu kufanya maamuzi magumu hii hali.
Kuna ndugu/rafiki yangu wa karibu sana anasumbuliwa na Tatizo la kuwa na Hofu/woga na wasiwasi na nafsi yake kukosa raha na hata akili yake kukosa kuturia,muda mwingi anakuwa na huzuni wakati hakuna kitu chochote kibaya mbele yake au kinaweza kutokea:
Naomba tumsaidie kwa Tiba kwani hali hii...
Kuna jamaa amefanikiwa kuoa na kupata mtoto mmoja,ila katka ndoa yao changamoto ni dini(islam + kristo) ikafikia hatua mwanamke akapoteza upendo kwa mwanaume na mwanaume akatoka nje ya ndoa akafanikiwa kumchimbia binti(islamic) mwingine asa yule wa mwanzo(kristo) anataka arudiane kwakuwa...
Kumekuwepo na mdororo wa bei za mazao kwa wakulima je kuna tatizo gani na Je Bodi za mazao zina msaada gani kwa wakulima kwa upande wa masoko?
Kumekuwapo na malalamiko ya sehemu kubwa wakulima wengi kukokosa masoko mazuri ya uuzwaji wa mazao yao kama mahindi, mbaazi, kahawa n.k
Wadau nashuka...
Habar wanasuaso, Serikali ya wanafunzi kutoka chuo kikuu cha SOKOINE CHA KILIMO inapenda kuwakaribisha wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza.
Pia Serikali ya wanafunzi kwa kushirikiana na utawala tayari imeweka utaratibu wa utoaji wa huduma ya malazi kwa Wanafunzi wote watakaofika chuoni kabla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.