Search results

  1. jrmlaurence

    Mayai ya Kware / quality egg Tshs 12,000/= Kwa Tray

    Nauza Mayai ya Kware Tshs 12,000/= kwa tray la mayai 30. Contacts: 0718 333 913
  2. jrmlaurence

    Nauza Mayai Ya Kware/ Quail Eggs

    Nauza Mayai ya Kware kwa bei nafuu: Tray moja lenye mayai 30 ni Tshs 14,000/= Namba ya simu: 0688 292007.
  3. jrmlaurence

    Mayai ya kware / quail eggs

    Nauza mayai ya Kware kwa Tray Tshs 15,000/= nipo Dar es Salaam. Contacts: 0688 292 007
  4. jrmlaurence

    Maazimio ya Mwaka 2015

    Mikakati toka kwa Kitime. Kwanza nawatakieni tena wote heri ya Mwaka mpya 2015, hata wale walioanza Mwaka kwa ‘kuwekwa kiporo', waliofukuzwa kazi na, waliogawana ule mkwanja, waliokosa ule mkwanja, wanaolalamika kwa kuwa walikosa ule mkwanja, wanaolalamika kwa kuwa wanaona Wananchi...
  5. jrmlaurence

    Nimwambie Mumeo Au

    Jamaa kenda kushtaki kwa Mwenyekiti wa serikali za mtaa, JAMAA: Mkuu nimekuja na mke wangu hataki kunipa unyumba bila sababu hebu ongea nae. MJUMBE: Hebu muite, we kaa nje ya ofisi niweze kumsikiliza sababu zake kwanza JAMAA: Poa mkuu MJUMBE: Haya mama kunani tena huko mzee unamnyima unyumba...
  6. jrmlaurence

    Tatizo Lilitokea Miaka kumi Iliyopita

    Jamaa alivunjika mguu akaepelekwa hospitali; DAKTARI: Imekuwaje mpaka ukavunjika mguu? JAMAA: Miaka kumi iliyopita… DAKTARI: Staki kujua hayo nataka kujua umevunjikaje mguu? JAMAA: Dokta nisikilize kwanza, miaka kumi iliyopita nilikuwa nafanya kazi kwa bosi moja kule Uzunguni, siku moja binti...
  7. jrmlaurence

    Jamani Swaga Zilikuwa Zamani

    Maendeleo yameua swaga nakwambia. Watu siku hizi wanajidaiii eti wana swaga, aa wapi! swaga zilikuwa zamani bwana. Enzi hizo za redio moja, mtu ukitoka kijijini na kuweza kuja kukaa mjini hata wiki moja tu, ukirudi unajikuta wewe ndiye mjanja wa kijijini, na kama ulibahatika kuja jiji la Dar es...
  8. jrmlaurence

    Dereva Trekta Kanipora mpenzi

    Daah inawezekana ni mambo ya maufundi kweli.. ila csi bado tulikuwa hatujaduu
  9. jrmlaurence

    Dereva Trekta Kanipora mpenzi

    NAWAHAKIKISHIENI duniani hakuna jambo jipya, mambo yanajirudia rudia kwa staili tofautitofauti tu. Kuna jambo limenitokea na baada ya kutafakari nimekubali kuwa hakuna jipya duniani nawaambieni. Kuna binti mmoja hapa kijijini kwetu nilimpenda sana, kwa kweli nilikuwa nimeshapanga lazima...
  10. jrmlaurence

    Mjipange Kabla ya Kuzaa maana tunapitisha Sheria

    Kuna watetezi wengi wa haki za binadamu hapa Bongolend, ni jambo zuri. Lakini utakuta watetezi hao wamejigawa kwa mambo fulani tu, wengine wanatetea wanasiasa, wengine akina mama wengine watoto, lakini kuna haki kubwa sana inakiukwa, nashangaa hakuna anayeitetea, nayo ni haki ya msingi ya kuamua...
  11. jrmlaurence

    Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

    BAADA ya matukio ya harusi ya Jumamosi iliyopita natoa onyo ole wake atakayeniomba mchango wa harusi, sitaki utani. Labda kwanza nikueleze jinsi tulivyopata misukosuko sana kwenye uchangiaji wa ile harusi, maana siku hizi hakuna pa kukimbilia, kila asubuhi unaamshwa saa kumi na mbili na meseji...
  12. jrmlaurence

    Usiombe Kufumania

    Usiombe kufumania, narudia tena kwa lugha ya kileo, kufumania ni soo. Nilishawahi kuweko kwenye kijiwe cha washkaji fulani kukawa na mjadala kuhusu kufumania. Swali likawa Je, ukifumania utafanya nini? Majibu yalikuwa mengi, mengine yenye uamuzi mgumu, ‘ohh mi ntaua'. ‘Ohh mi...
  13. jrmlaurence

    Ni Nchi gani hiyo

    tafadhali kama una jibu tusaidie tupate mkwanja: • Nchi gani ambapo wadada hawataki kupewa maua siku za Valentine na birthday zao? • Wapi ambako wazazi wote kila moja anadai alikuwaga wa kwanza darasani?• Wapi ambako unaweza kuwa na leseni ya udereva wakati hujawahi kushika usukani hata siku...
  14. jrmlaurence

    Matumizi Bora ya Simu kwa wenye Michepuko

    ukweli utabaki kuwa ukweli, siku hizi kuwa nakamchepuko kako cyo issue.
  15. jrmlaurence

    Dawa ya wanaoleta Siasa Kwenye Harusi au Msibani

    Duniani kuna binadamu halafu kuna wanasiasa. Binanamu wengi huwa wajitahidi kuwa wanasiasa na siku hizi kila kona wamejaa na wanaboa kweli. Kazi kubwa ya mwanasiasa ni kuongea, wakitumia mdomo wao wanaweza kukufanya uamini kuwa wao ndio wanajua kila kitu. Tena wanasiasa wengine huwa wanafikia...
  16. jrmlaurence

    Matumizi Bora ya Simu kwa wenye Michepuko

    Jamaa zangu wengi sana wanapata taabu sana kwa sababu ya simu. Kidude hiki ambacho kinatakiwa kitupunguzie shida katika maisha chenyewe ndio kimekuwa shida kubwa. Mtu unakuwa huna raha kabisa shauri ya kidude hiki why? Jamani Why? Kuna hii ishu ya kuwa na mchepuko, kimsingi hili jambo gumu...
  17. jrmlaurence

    Mapenzi ya Kibongo

    Ila hilo la msosi wabongo wengi ndio kipimo cha upendo kipindi cha u junior Bachelor
  18. jrmlaurence

    Mapenzi ya Kibongo

    Mapenzi ya Kibongo ni ya aina yake duniani, hivyo nimeona leo nitoe somo ili kuwasaidia mayanki namna ya kuishi kwa furaha katika mapenzi ya Kibongo. Kwanza mapenzi ya Kibongo hayashughuliki na mambo madogomadogo kama eti kupeana maua au eti kutembea beach mmeshikana mikono, hizo ishu ni za...
  19. jrmlaurence

    Dk. Slaa amlipua Rais Kikwete kwa kujigeuza Ofisa Manunuzi

    Mwili wa Hayati CCM tunaomba tuuweke kwenye Jeneza tayari kwa maziko
  20. jrmlaurence

    Je Ungekuwa Wewe Ungefanyeje

    Asubuh na mapema unaamshwa kwa hodi na kilio kikubwa, unafungua mlango unamkuta ni rafiki yako wa karibu sana na analia kwa uchungu mno. Unajitaidi kumnyamazisha lakini wapi, huku anaendelea kulia na kuangalia mbinguni kuashiria kuna kitu nawewe hukati tamaa kumnyamazisha, huku unakumbatia nae...
Back
Top Bottom