Huo sio utafiti, umepita nyumba moja na unasema wazaro watoto wao hafanani, HIYO SAMPLE HAIWAKILISHI POPULATION kwanza hata hujui namna utafiti unavyofanywa,, umelala siku moja kwa wenyeji wako then unaona ndo umefanya utafiti. Fanya utafiti kwenu kwanza ujue kama wazazi wako hawajafanya tendo...
Halafu unajiita GREAT THINKER ni kundi la wajinga fulani, udhaifu wa mtu katika uongozi hautokani na dini yake, jaribu kuleta mada ya kweli ambayo haini uozo wa kidini, Nchii hii haina maendeleo siku nyingi na sababu sio watu na dini zao, sababu ni kutokuwa na uchungu wa nchi na kufuata maadili...
Maneno yako sahihi kabisa hao mapolisi walitakiwa kuyaongoza maandamano mpaka kwenye kituo cha mkutano pasingetokea vurugu yoyote, walichofanya wao ni kuanzisha vurugu kuzuia maandamano ambayo ni ya amani,, tatizo hawa mapolisi bongo zao sio za kiprofessional au ndo yaleyale kufuta amri kama MBWA.
Wewe ni mshabiki tu, hujui unachozungumza,, Quran inasema Wameruhusiwa kupigana wale ambao wamedhulumiwa haki yao, ispokuwa kama dhalim akitaka suluhu AMANI itawale.
Ubongo wako unachemka Mlangaja, hapa suala sio rangi au asili, kuna mafisadi wengi sana ambao sio hao wahindi wala waarabu. Watu wabaya hawana rangi ila wana mioyo inayofanana.
MWL nyerere alitoa maoni yake na ccm wakaogopa ndio ikawa hivyo, mwl alikuwa hataki malumbano na mtu, akisema ndio hilohilo na jamaa wa ccm hawapingi kitu akishasema mkuu wao. Mkapa ana uzuri wake na Mkwere ana uzuri wake na ubaya wake, sioni tofauti kati yao.
wale ni opportunist hawana nia njema na nchi wala hiyo ccm, wanachotaka ni kujiweka mbele waonekane na hao viongozi LABDA watapata ulaji usio halali, hawana mtazamo wa maendeleo,, kama kweli wangekuwa na uchungu na nchi japo wangeunda civil society ambayo inamtazamo maendeleo na mshikama bila...
Chimba kisima (BORE HOLE) maji uhakika na utachagua sehemu yoyote iliyi karibu na soko lako.Nenda wizara ya maji pale ubungo watakufahamisha kila linalo hitajika,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.