Hivi hizi kampuni ambazo zimechukua hela nyingi na zinaenda kulipwa mabilioni ya fedha za tanzania zinaweza kukosa hata website!!!!!!!!maana they are no where to be found......hii ni dalili kuwa hazipo au hazitaki kupatikana........Serikali inatakiwa ijue kuwa hii sio karne ya zamani watu...
MMMhhhh!!!! Mheshimiwa anaonyesha jinsi anavyojali familia ila ingekuwa vizuri chini ya picha tukapewa ka intro kidogo ka waliomo kwenye hiyo picha,naona watu wanahangaika kuguess nani HG, Mlinzi or family
I agree with domo zege.kama umeshajua unapataje utamu ukiwa na huyo hawara kwa nini usimfundishe huyo wako ukapata raha ile ile au kama vipi halalisha huyo hawara.
Usitengeneze mtandao wa mapenzi, baki na mmoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.