habari waku,nina mpango wa kuanzisha biashara ya kuuza mazao ya chakula kama mahindi,maharage na mengine .kwasasa nimeshafanya michakato ya kupata fremu ya kuuzia ila sijajua naanzia wapi kufanya usajili ,leseni yake pamoja na gharama zake. mwenye kujua anisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu,mimi ni fundi mwanafunzi japo ndo najiifunza umeme wa magari bado nipo garage , Pia ni dereva mzuri na leseni ninayo class ABD
kwahiyo kwa wakazi wa Dodoma anaye hitaji dereva wa kumtuma sehemu au kupeleka watoto shule na kuwarudisha nyumbani nipo hapa .karibuni
Salaam wakuu.
Naombeni ushauri ni ufundi gani upo vizuri kwenye Kipato kati ya kuwa fundi wa kutengeneza magari upande wa umeme wa magari na uchomeleaji(welding)?.
Habari wakuu,
Najua hili ni jukwaa husika nitapata msaada, kwa kipindi kirefu tokea nimalize chuo nilikuwa jkt sikuweza kupata fulsa ya kujihusha na siasa japo tulikuwa tunakutana na vijana wa ccm kwenye kazi mbalimbali kama usafi kwa muda ule hada ningepata dondoo kutoka kwao nisingeweza...
sifa
Mhitimu kidato Cha nne au zaidi
Cheti /diploma kuhitimu mafuzo ya computer /secretarial au record management..
Uzoefu wa kutosha kwenye office application kama Microsoft word ,Excel,publisher ,graphics editing etc
Internet - Email and online services / application..
- Kuwa na uzoefu au...
Habari zenu wakuu, kijana wenu katika kuhangaika hii wiki nikapata kahela kidogo, sasa leo nilikuwa nimebakiwa na sh. 12,000/= kwenye mfuko wangu wa suruali
..nikiwa ninaenda kanisani asubuhi kwenye daladala akaingia kipofu ambaye anaombaomba mule ndani nikaona sio mbaya nikachukua mia5 moja...
Habari wakuu. mimi naomba niulize kwani maana nmekuwa nikifatilia kalenda za ninaokuwa nao kwenye mahisiano ili wasipate mimba zisizo tarajia.
ila kwa huyu sasa wa sasahivi ndio sielewi elewi maana ameniambia yeye mzunguko wake ni siku 28 na mini nikafuatilia nikaona ni kweli.
Sasa siku...
Habari wakuu, nisaidieni kijana wenu nipate kibarua chochote nipate hata njia ya kukusanya mtaji.
Hata mwenye connection naomba anisaidie nimekwama huku mtaani hata kuchimba mifereji nayo bila connectio ni ngumu kupata.
Ninafanya kazi yoyote ile ya kutumia nguvu au hata za sales na marketing...
Habari wakuu. Yaani kuna muda unaweza kysikia habari mbaya lakini kutokana hali yako ya maisha unatamani hiyo habari iwe heri kwako,Mimi binafsi nilipitia jkt kujitolea miaka mitatu 2019 hadi 2022 ,Lakini mazingira niliyo pitia ya kuona wenzetu njia walizopitia kuajiriwa na mimi sikuwa na...
Habari wakuu, mimi nina idea na biashara lakini nimeshindwa kabisa kuanza kwasababu ya kiuchumi.
Naomba kuuliza ni bank ipi inatoa mikopo kwa watu aina kama yangu au kama kuna mdau wa JF ataweza kunisaidia niweze kujikwamua.
Idea nimeifanyia utafiti wa kutisha na kujiridhisha lakini sina pesa...
Habari wakuu,nahitaji frame nitakayo weza kuweka biashara ya nguo za kike na za watoto maeneo ya Kigamboni, Mbagala au Mbezi, kama una namba ya dalali pia unaweza kunisaidia.
Pia eneo lolote lenye location nzuri na bajeti isiyozidi 100k kwa mwezi naomba mawasiliano
Baada ya kipindi kirefu leo nimechanwa makavu kuwa its done.
NB: Sina kosa, ila ni ujobles na kibunda hakisomi. Kila siku kuna mishe nasikilizia na ni kweli kuna mishe naisikilizia huu mwaka haupiti. Ila amechoka kuvumilia na mimi, nimekubali nitafanyaje sasa. [emoji2357]
Nakaribisha pole zenu...
Habari wakuu,
Nina simu aina ya oppo ilizima sababu siku chaji sasa wakati wa kuchaji inaniandikia hayo maneno hapo juu halafu inazima.
Wataalamu nisaidieni hiyo ni ya kubadili battery au ni matengenezo madogo nisije enda kwa fundi akanipiga parefu.
RAM zinauzwa kama zinavooneshwa kwenye picha hapa chini zipo za 2gb na 4gb jumla zote zipo 4 chukua zote kwa 100k ni nzima na zilitumika kwenye computer za kufundishia kwa muda tuu
bei zake mojamoja ni.
2gb ni 20,000/=
4gb ni 40,000/=
ukichukua zote ni 100k.
karibuni napatikana Dodoma kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.