Search results

  1. S

    Arusha na Kilimanjaro kuna shida? Kila kiongozi kwao ni mbaya?

    Pslmp umeshikilia sana hiyo point yako moja ya ukabila. Ukabila unahusianaje na uongozi wa mkoa? Hakuna mtu anayedai kuwa viongozi wa mikoa hiyo wawe wa makabila ya mikoa yenyewe. Watu wanataka viongozi watakaosimamia shughuli za maendeleo ipasavyo, regardless walikotokea. Kumbuka, sisi watu wa...
  2. S

    Ili kuongeza ajira na mapato, Serikali iruhusu biashara kufanyika saa 24

    Issue nyingine muhimu ni safety. Wenye maduka wanashindwa kufungua usiku kwa sababu ya usalama. Kama vyombo vya usalama vingekuwa imara na vyenye uwezo wa kusimamia usalama wa hizo biashara kwa masaa yote, wenye biashara wangefungua hata usiku.
  3. S

    Zitto Kabwe anena haya kuhusu ESCROW

    This is what makes you great! What you and your team did demonstrated extraordinary patriotism and now, by the grace of God we are alive to see the rewards. We are proud to have a leader of your caliber and we are forever greatful for it. Much respect!!
  4. S

    ACACIA: Hatujafikia makubaliano yoyote ya kuilipa Tanzania

    Watu mbona wanashindwa hata kuelewa lugha yao? Ripoti ya Ikulu imesema Mwenyekiti wa Barick amekubali kuanza mazungumzo ambayo yatakuwa na lengo la kufikia muafaka kwa pande zote mbili. Nowhere does it say they will start paying!! They will initiate negotiations (which is normal in any business)...
  5. S

    Bajeti ya wizara ya nishati na madini inawasilishwa kesho bungeni,nani ataiwasilisha?

    Where do you get this view? Kwa nini wasimsikilize? Kwani hiyo bajeti anaandaa waziri? Ni bajeti ya wizara siyo bajeti ya waziri. Pia uelewe kuwa naibu waziri ndiye waziri wakati waziri hayupo.
  6. S

    Magufuli "Nchale!" - Usiteme, Usimeze wala Usimumunye!

    We 've got to go beyond party politics on national issues like these. The president is trying to do good today, which includes correcting mistakes committed by leaders of the past. Kwamba yeye ni CCM na waliofanya haya makosa walikuwa CCM ina maana kwamba hawezi kufanya marekebisho? Mimi ni...
  7. S

    Nyingine ya kufungia mwaka: Mzee Mwanakijiji awaombe msamaha wananchi

    My friend! Aombe msamaha kwa kosa gani alilolifanya? MMM is a contributor like you and me. Hana mandate au requirement ya kutetea upande wowote just like you and me. Kama una uchu wa kuombwa msamaha watafute wale uliowachagua na unaowalipa mshahara waombe msamaha kama wamefanya kinyume na...
  8. S

    Tetesi: Wakenya wanataka waruhusiwe kufanya kazi Tanzania bila Vibali, rais asikubali

    Hii ni proof kwamba unatakiwa kuacha uvivu na jitahidi uende shule. Kwa sababu mtu hakubaliani na point yako basi unaamua kumwita Bavicha. Kwani kuna ubaya gani hata kama angekuwa Bavicha? Kama ungekuwa una uelewa ungejua kuwa issue ya Wakenya kufanya kazi Tz na vice versa ni issue inayohusiana...
  9. S

    Majibu ya Waziri Mwigulu Nchemba kuhusu tuhuma za kughushi vyeti vya taaluma, kuiba jina

    Mheshimiwa Waziri pamoja na kwamba sijawahi kudoubt resume yako, nashukuru umepata time kuelezea kwa undani jinsi ambavyo ulistruggle hadiukafikia ulipo. Wizi wa vyeti ni mojawapo ya matatizo makubwa tuliyo nayo Tanzania. Inaturudisha nyuma. Tatizo litaisha wakati waajiri watakapokuwa serious...
  10. S

    Ni hela ipi ndo imekuwa ngumu?

    Regardless na alipo Nyani Ngabu, alichosema kwani ni uongo? Point kubwa ambayo ungechukua ni kwamba mambo yamerudishwa pale yanapotakiwa baada ya miaka kumi ya kutegemea ufisadi. Wale watakao acknowledge hili mapema ndio watakaofanikiwa. Kama unang'ang'ania uchumi urudishwe kwa mafisadi ili na...
  11. S

    Msemaji wa Ikulu ya Tanzania anaijua mipaka yake ya kazi?

    Naomba nichangue kidogo tu ndugu yangu Yericko kwamba pamoja na kwamba nakubaliana na wewe kuwa CCM wana abuse sana kodi yetu kwa hili uko wrong. Raisi anapokuwa ofisini ana haki ya kutumia vyombo vya ofisi kufanya shughuli zake zote hata za kichama. Sababu mojawapo kubwa ni kuwa huwezi...
  12. S

    Makampuni ya Simu,Mabenki kutoa madawati mkoa wa Dar tu; Dar pekee ndio ina uhaba wa madawati?

    They have to start somewhere!! Huo unafiki unaousema uko wapi? Hawa watu wanatoa msaada kwa wananchi kama sehemu ya kuimarisha uhusiano wao na wateja. Wameona umuhimu wa kuanzia Dar ambapo ndiyo makao yao makuu yalipo, in other words, nyumbani kwao. Eventually wataeneza huo msaada mikoani...
  13. S

    Mhe. Rais, hii ndiyo Julius Nyerere International Airport inavyowatesa wageni na kuwakimbiza

    Kuna issue ya urasimu pale DAR tofauti na JRO ambapo process ni simplified. Sababu kubwa ni corruption. Wote tunajua kuwa kama process ikiwa simple, wenye kupenda corruption watashindwa kucheza. Pale JRO ukipita ni one touch umemaliza. Unatumia dirisha moja na process inamalizika haraka sana...
  14. S

    Kamanda Sirro atangaza oparesheni maalum kwa wenye vyeti vya kugushi

    Kamanda Sirro ana uwezo gani wa kuhakiki vyeti vya watu? Hii ndiyo problem. Kutoa responsibility kwa watu ambao unajua kabisa hawataweza kufanikiwa. Vyeti feki vitaondoka pale waajiri watakapokuwa serious na kuhakiki vyeti vinavyotolewa na applicants. Waajiri wanawasiliana na vyuo kuhakiki vyeti...
  15. S

    DC mpya wa Ikungi, Singida atumbuliwa ndani ya masaa 24

    Vetting process iliyo nayo serikali yetu ni mbovu kwa sababu imejaa "yes men". Raisi hawezi kufanya kila kitu na hawezi kuwa right saa zote. Washauri wake wanatakiwa kutambua hilo na kumshauri accordingly. Wale wanaohusika kwenye issue kama hizi nao wanaogopa kupoteza kibarua na hii ni problem...
  16. S

    Chris Lukosi: Tusipotoshwe,kupungua kwa mizigo bandari ya Dsm ni mdororo wa Uchumi wa Dunia

    Mara nyingi sikubaliani na positions za Chris lakini this time yuko on point. Wanaopiga kelele kuhusu Magufuli hatuwataki kwenye ujenzi na maendeleo ya nchi yetu. Ndiyo wale wale waliotufikisha tulipo sasa.
  17. S

    The Economist on Magufuli: A President who looks good but governs impulsively

    Nuff said!! Huwezi kusikia makampuni honest yanalalamika kwa hizi moves anazofanya Bulldozer. Only the corrupt will complain. Kila siku nikiongea na watu wanalalamika hali ngumu Magufuli amebana kila mahali. Ukiwauliza amebana nini wanasema amebana hakuna wizi tena na kila mtu anafanya kazi kwa...
  18. S

    Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete atembelea daraja la Nyerere, ashauri kutekelezwa kwa mipango...

    Jamani mwacheni JK naye atembelee daraja. He had a hand in building it! The bridge is part of his legacy whether we like it or not. Kweli ametuachia matatizo kama corruption na wauza unga ambao alidai alikuwa anawafahamu ila hakutaka kuwashitaki, lakini daraja la Kigamboni ni ahadi moja nzuri...
  19. S

    Rais ataenda lini nchi za Ulaya kupata uzoefu kwa marais wenzake?

    Zipo simu. Azitumie na zinatosha. Huko kwenda Ulaya unakosema ni ku socialize na yeye mwenyewe ameshasema hana time kwa sasa. Let him be.
  20. S

    Website ya NAOT imekuwaje?

    Why do you attach "news alert" to it? Hii ni kutokujua maana ya news alert au ni nini? Jibu umepewa pale pale kwenye site, unachotafuta zaidi ni nini?
Back
Top Bottom